Dont call that witch SHEIKH pls.....he is not and never he will be.....he doesnt deserve the name......ANAUHARIBU UISLAM PAKA MCHAWI NA MSHIRIKINA YULE
Kwa hili mimi nadhani Sheikh Yahya ametabiri sahihi, kwakuwa huo uchaguzi uliofanywa ni batili, wewe uliwahi kuona wapi uchaguzi unafanywa lakini kura zinazotangazwa zinahitilafiana kwa kiwango kikubwa na kura zilizopigwa.[/QUOTE
Byendangwero Usimtetee MCHAWI huyo, alisema mmoja wa mgombea URAIS kati ya wawili wenye upinzani mkubwa mmoja wao atakufa na uchaguzi utasogezwa mbele/kuhairishwa haya wewe mtetezi wake tuambie nani kafa? Na je uchaguzi umehairishwa au kusogezwa mbele?
Ukipata jibu la swali langu hapo juu, utaelewa kuwa hata CCM aliwadanganya na kuwatisha kuwa atakaye gombea kumpinga JK ndani ya CCM atakufa. Jamaa kutokana na hofu ya kufa wakamuacha awe mgombea pekee ndani ya CCM wakategemea mbinu hiyohiyo iwatishe wapinzani wa kweli CHADEMA walipoona hawatishiki wakaja na plan B ya kuchakachua matokeo
Naomba uliza wana forum huyu mchawi wa ccm ameumbuka au bado uchaguzi hautafanyika bongo?