Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,063
- 4,058
Adai analindwa na jini Subiyani.
Jamani huku si kumdhalilisha Slaa, kwa kumfanya kwenye jamii yetu aonekane ni MSHIRIKINA?
Ushauri wangu wa bure kwa SHEIKH... ni bora aingie rasmi kwenye kampeni chafu za CCM zilizojaa matusi , uongo, kashfa na kuchafulia watu majina.
Jamani huku si kumdhalilisha Slaa, kwa kumfanya kwenye jamii yetu aonekane ni MSHIRIKINA?
Ushauri wangu wa bure kwa SHEIKH... ni bora aingie rasmi kwenye kampeni chafu za CCM zilizojaa matusi , uongo, kashfa na kuchafulia watu majina.