Uchaguzi haujaahirishwa na tayari nipo kituoni kwa ajili ya kupiga kura. Kama utabiri huu wa kimajini umekwama, ule uchafu mwingine wa JK kushinda kwa kishindo upo kweli? Sheikh Yahya kajifiche kuzimu.
Atadai kwamba haukakwama kwani kuna vituo ambavyo upigaji kula umehairishwa. haha