Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
wengi wa hawa walikuwa hawamtaki jk kwani walijua hana uwezo wa kuongoza ila anauwezo wa kuuza sura na kubembea ulaya na america,kwa hiyo haiyamkini kuwa huyu shkh feki wa kiislamu alitumika kuwaangamiza watu hawa ili wasiwe kikwazo kwa jk........usishangae kusikia kuwa waliokufa wote walisababisha/watasababisha ushindi wa SUNAMI kwa chama chetu..............kuna
KOLIMBA, CHIFUPA, MALIMA, BALALI, GAMA, NYERERE, NG'ITU, JUMBE, ..............etc.......etc.......
jk nae kimya kwani anajua staili alizotumia kupata uongozi ikiwa ni pamoja na kuwatumia hawa watu wa kuzimi akina yahya............
inaniuma sana nikifikiria