Liz Senior
JF-Expert Member
- Apr 19, 2007
- 483
- 53
Jamani mambo mengine! Hebu iacheni familia yake! Miaka mingapi imepita mnakuja tonesha machungu yao!
Tumeona shuhuda nyingi na kusikia nyingi pia, kuna nyingine za ukweli na nyingine za kutiliwa shaka....!
Lakini kwa zote hizo MUNGU-YAHWEH anatoa angalizo ambalo ni thabiti.....ZIJARIBUNI HIZO ROHO MUONE KAMA ZATOKA KWA MUNGU....na si kama anaishia hapo, anaendelea kutuhabarisha kuwa hatafanya jambo BILA KUHABARISHA WATAKATIFU....!
Na pia tukumbuke MUNGU WETU NI MUNGU WA ISHARA......! BILA ISHARA NO GOD....!
TUOMBE ISHARA.....NA SI KUPIGA KELELE!
....Mh!! Ni huyu tu au masheikh wote? Taratibu mazee....!Unategemea kitu tangible toka Sheikh?
Hata wewe ni miongoni mwa watumwa wa waingeleza, yaani umeshindwa kujieleza kwa kiswahili tu au kiingeleza tu???!!! weka vizuri haya maneno kwenye lugha moja hasa ya taifaJapo mimi ni Mkristu, na naamini katika Yesu kuwa ni kweli ndio yeye ndio Njia, Kweli na Uzima, ila kuna baadhi ya walokole wako kwenye wokovu kwa insanity, they are sane!, huyu sheikh ni mmoja wao!.
Tatizi la insanity kwa jina la Yesu, jamaa pia ana hypnotic powers, hivyo kuanzia wachungaji hadi waumini, wanajikuta wako hypnotised na kuamini kila ushuhuda hata toka kwa mtu mwenye insanity, hivyo anaongea mambo ya mind sugestibility na waumini kwenye hali ya trench, wanaishia kuamini ushuhuda kama huo.
Bwana Asifiwe!.
Sasa jamani let say sisi sio wajinga haya!!
Naomba uweke uwelevu wetu japo mmoja tu kisha ntakubali sisi sio wajinga..... msikalie ubishi tu wakati ukweli unaonyesha na dalili zote za ujinga zipo look at uuuu!!
Sasa kama mtu kadhibitisha kuwa fulani kachukuliwa miskule alafu mtu mwenye upeo mdogo bila hata kuchunguza,kudadisi anakomaa tu! ka! anan`gonda(halija) pasi na sababu yeye abisha tuuuu! ilimradi kupinga tuu basi kwavile ajapendezwa na mada basi yeye apinge tuu,
naomba tukuwe jamani mnapotosha maana ya ma great thinkers maana nimeona mnabisha bila kufikilia wala kuhoji na kama ningekuwa mimi mleta maada nisinge waambia hata chanzo mnapenda tu msikie habari nzuri nzuri tuuu!!.
Ati!! wengine hawashangai kuona mambo hayo yakiongewa makanisani
ndio hutakiwi ushangae!!!!! Naamini kabisa wewe Bull hauna helim kuhusu deen kama huyo Sheikh aliegundua kweli maana ni mwenye kutambua hakutaka kufuata mkumbo kaamua kuchunguza na kisha kufuata kweli.
Changamoto ipo ila siwalaumu nyinyi!!!
Alikuwa muislamu na mganga, pia mchawi mkuu, kwa sasa ameokoka na anapita kwenye makanisa na kuhubili kwenye viwanja mbali mbali hapa Dar.Huyu shekhe ni muislam right? what is he doing preaching in the church?
Huyu shekhe ni muislam right? what is he doing preaching in the church?
Huyu shekhe ni muislam right? what is he doing preaching in the church?
Huu si ni ushahidi wa kutosha kumfunga huyu shehe?