09/04/2014
Kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi, Morogoro
KATIBU wa Taasisi na Jumuiya ya Kiislamu, Sheikh Issa Ponda, ameendelea kusota rumande hadi pale jalada la kesi yake litakaporejeshwa kutoka Mahakama Kuu.
Sheikh Ponda anayetetewa na wakili wa kujitegemea, Batheromeo Tharimo alifikishwa mahakamani hapo chini ya ulinzi mkali licha ya kutokuwepo umati mkubwa wa wafuasi wake....
_____________________________
My take: Takbiiiiiiir!
Kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi, Morogoro
KATIBU wa Taasisi na Jumuiya ya Kiislamu, Sheikh Issa Ponda, ameendelea kusota rumande hadi pale jalada la kesi yake litakaporejeshwa kutoka Mahakama Kuu.
Sheikh Ponda anayetetewa na wakili wa kujitegemea, Batheromeo Tharimo alifikishwa mahakamani hapo chini ya ulinzi mkali licha ya kutokuwepo umati mkubwa wa wafuasi wake....
_____________________________
My take: Takbiiiiiiir!