Sheikh Ponda na wenzake wasisitiza waislam kugomea sensa!

Status
Not open for further replies.
Ni matatizo ya kuchanganya mambo kwa kusingizia na kudai ni haki kwa wlango wambele lakin kwa mlango wa nyuma likibeba agenda za siri, na aliepanda mbegu hii ametulia magogon kimya bila shaka akifurahia kumea kwa mbegu yake alopanda yaan udin.

Chukua mfano mdogo wa wakatoliki

Kuanzia ngazi ya taifa, mkoa mpaka kila kijiji vitongoji na mitaa wanafaham idadi ya waumin wao

RC Wanatambuwa idadi sahihi ya wazee, vijana, watoto na wasiojiweza kwa waumin wake wote.

Wanafaham vema idadi yao kupitia makanisa na jumuiya zao ambako sensa zao hufanyika natakwim kujengwa kuanzia vigango, parokia, jimbo na hatimae taifa.

Yote hayo kanisa katoliki linafanya bila kuishilikisha serikali wala kutumia mgongo wa serikali kwa maana yoyote ile.

Ponda na kundi lake wanaweza kuhesabu waumini wao misikitin na kupata takwim kwa uhakika na ufanisi mkubwa.

Ikumbukwe kwamba takwim kwa maana ya iman yoyote ni jukum la wenyeiman yao kuifanya kulingana na mahitajio kwa maana ya matumizi katika iman au din husika

Ninaunga mkono hoja hii. Hii inaleta fomula sahili, yaani inarahisisha mambo kwa kila dini inayotaka kujua idadi ya waumini wake. Kila msikiti na kila kanisa wafanye hesabu ya waumini wao (ikiwa ni pamoja na kujua jinsia na umri wao). Kisha watafute jumla kuu ya waumini kwa miskiti yote na makanisa yote katika taifa. Sirikali itakapotoa idadi ya watu wote, mathalani milioni 50, basi kazi itakuwa ni rahisi: idadi ya Waislamu au Wakristu itajulikana kwa kufanya hesabu za kutoa: 50 - xy = z!! simpo.
 
Ukweli unabaki pale pale ni vizuri nchi ifike pahala pa kujua idadi ya waumini wa dini kwa kutumia mfumo wa kiserikali wa kuhesabu watu. Suala la kujua idadi ya wakatoliki kwa kutumia makanisa halina mshiko kitaifa.
 
Ni matatizo ya kuchanganya mambo kwa kusingizia na kudai ni haki kwa wlango wambele lakin kwa mlango wa nyuma likibeba agenda za siri, na aliepanda mbegu hii ametulia magogon kimya bila shaka akifurahia kumea kwa mbegu yake alopanda yaan udin.

Chukua mfano mdogo wa wakatoliki

Kuanzia ngazi ya taifa, mkoa mpaka kila kijiji vitongoji na mitaa wanafaham idadi ya waumin wao

RC Wanatambuwa idadi sahihi ya wazee, vijana, watoto na wasiojiweza kwa waumin wake wote.

Wanafaham vema idadi yao kupitia makanisa na jumuiya zao ambako sensa zao hufanyika natakwim kujengwa kuanzia vigango, parokia, jimbo na hatimae taifa.

Yote hayo kanisa katoliki linafanya bila kuishilikisha serikali wala kutumia mgongo wa serikali kwa maana yoyote ile.

Ponda na kundi lake wanaweza kuhesabu waumini wao misikitin na kupata takwim kwa uhakika na ufanisi mkubwa.

Ikumbukwe kwamba takwim kwa maana ya iman yoyote ni jukum la wenyeiman yao kuifanya kulingana na mahitajio kwa maana ya matumizi katika iman au din husika

Umeua bro, big up kwa hoja hiyo.
Nimesikia mhadhara wa namna hiyo leo asb ninapojiandaa kwenda kazini. Wanataka serikali iweke kipengele cha dini kwenye sensa ili watu wahesabiwe kulingana na dini zao. No way. Anayetaka kujua idadi ya waumini wake afanye kwa gharama zake na utaratibu wake mwenyewe. Mtoa hoja, Kanisa Katoliki kimsingi ni 'serikali' isiyo rasmi, kwa sababu mfumo wake wa kimamlaka unaanzia grassroots kabisa, kama ulivyotaja hapo juu. Ina rasilimali za kila namna za kuendesha zoezi la kuhesabu watu wake. Ukiwauliza leo hii kwamba wako wangapi watakupa takwimu sahihi kabisa, kuanzia ngazi ya jumuiya ndogo ndogo hadi jimbo. Hao ni wale ambao wako 'hai' kwa mujibu wa kanisa.
Nashauri kama kuna taasisi nyingine inataka kujua idadi ya waumini wake basi itumie mfumo kama wa Wakatoliki. Itawawia rahisi na wala hawatatumia gharama kubwa! Lakini sio kuilazimisha serikali ituhesabu kwa dini zetu!
 
Mkakati wa walutheri na wakatoliki ni kuhakikisha kila jimbo/ dayosis ina chuo kikuu chao na Hospitali yaje ya Rufaa. Wenzetu kazi kuzurura na makubazi kudai Kadhi na ksusia sensa

Hiyo mbegu unayoipandikiza itakula kwako....kikinuka lazima walipuka nawewe na jinsi ulivyomuoga wa kifo hahahaha
 
Mie nashauri serikali ihesabu dini zingine na pagans, af hao wengine wahesabiwe misikitini serikali ikachukue idadi tu. Make naona wanahisi serikali itachakachua idadi yao. Wahamasishane misikitini wajihesabu, kuwa bembeleza naona wanawajengea jina tu.
 
Ni matatizo ya kuchanganya mambo kwa kusingizia na kudai ni haki kwa wlango wambele lakin kwa mlango wa nyuma likibeba agenda za siri, na aliepanda mbegu hii ametulia magogon kimya bila shaka akifurahia kumea kwa mbegu yake alopanda yaan udin.

Chukua mfano mdogo wa wakatoliki

Kuanzia ngazi ya taifa, mkoa mpaka kila kijiji vitongoji na mitaa wanafaham idadi ya waumin wao

RC Wanatambuwa idadi sahihi ya wazee, vijana, watoto na wasiojiweza kwa waumin wake wote.

Wanafaham vema idadi yao kupitia makanisa na jumuiya zao ambako sensa zao hufanyika natakwim kujengwa kuanzia vigango, parokia, jimbo na hatimae taifa.

Yote hayo kanisa katoliki linafanya bila kuishilikisha serikali wala kutumia mgongo wa serikali kwa maana yoyote ile.

Ponda na kundi lake wanaweza kuhesabu waumini wao misikitin na kupata takwim kwa uhakika na ufanisi mkubwa.

Ikumbukwe kwamba takwim kwa maana ya iman yoyote ni jukum la wenyeiman yao kuifanya kulingana na mahitajio kwa maana ya matumizi katika iman au din husika

safi sana mkuu kwa kuwafunulia wakinaponda jinsi ya kufanya mambo yao bila kutegemea serikali.nimeipenda hii!
 
Ni matatizo ya kuchanganya mambo kwa kusingizia na kudai ni haki kwa wlango wambele lakin kwa mlango wa nyuma likibeba agenda za siri, na aliepanda mbegu hii ametulia magogon kimya bila shaka akifurahia kumea kwa mbegu yake alopanda yaan udin.

Chukua mfano mdogo wa wakatoliki

Kuanzia ngazi ya taifa, mkoa mpaka kila kijiji vitongoji na mitaa wanafaham idadi ya waumin wao

RC Wanatambuwa idadi sahihi ya wazee, vijana, watoto na wasiojiweza kwa waumin wake wote.

Wanafaham vema idadi yao kupitia makanisa na jumuiya zao ambako sensa zao hufanyika natakwim kujengwa kuanzia vigango, parokia, jimbo na hatimae taifa.

Yote hayo kanisa katoliki linafanya bila kuishilikisha serikali wala kutumia mgongo wa serikali kwa maana yoyote ile.

Ponda na kundi lake wanaweza kuhesabu waumini wao misikitin na kupata takwim kwa uhakika na ufanisi mkubwa.

Ikumbukwe kwamba takwim kwa maana ya iman yoyote ni jukum la wenyeiman yao kuifanya kulingana na mahitajio kwa maana ya matumizi katika iman au din husika

serkali imeweka sensa ifae kwa hitaji fulani mfano mipango ya maendeleo,wao kwa kutumia mpango wa serkali wanaleta agenda yao,kwanini wasitenganishe dini na serkali....!?
 
mumeingia mikataba ya kidhulma na serikali ya mou ndio maana munajenga hivyo vyuo waisilamu hatujaingia mikataba ya kidhulma ndio maana hatuna hio sisi ni watu wa halali na nyie kwenu haramu ndio halali

ww kilaza hakuna selikari ya mou ni mkataba wa memorundum of understanding.
 
ponda tuko nyuma yako, tumesha amua na haukuna hata mmoja anaweza kutuzuia.
 
Ukweli hatuna tatizo na watanzania kufahamika kiserikali yaani kitaifa. Kama taifa hatuhitaji kujua maslah ya waabuduo na wasio abudu, kwasabab:-

1. Malengo na mahitaji ya waabuduo ni tofauti, hayarandan kutoka iman moja kwenda nyingine, Mfano anglikana kuhitaji idadi kadhaa ya biblia na vitabu vya nyimbo za ibada.
Wasun kuhitaji mashekhe kadhaa kuwafikia wasun wenzao nchin kote

Wasio abudu pia wanabajeti zao mfano mbuzi na kaniki ngapi kufunga mwaka nk.

2. Kama taifa huru na linalotoa nafasi sawa kwa waabuduo na wasioabudu, yatupasa kuwa makin na kuepuka hila zozote au chochote katika kutugawa, kutupambanisha au kutuchochea tukauweka rehan utanzania wetu.

3. Sensa ya serikali ni kwa watz wote kwa maana itapanga mahitaji na mipango ya baadae kwetu sote bila kujali kama wewe mganga wa kienyeji, moravian, shia, budha au kafir. Mipango ya serikali haingalii makabila mfano wasukuma ni wengi basi lazima mipango iangalie wasukuma kwanza hapana.

Tunahitaji usawa katika huduma sio kwa maana ya dini zetu.
 
Katika gazeti la Mtanzania toleo la leo ijumaa Agosti 17 limekunukuu ukiwafanyia TAKFIR mamilioni ya Waislamu Watanzania ambao hawakubaliani na Kadhi uliyemchagua, nikinukuu kauli inayosemekana kuwa ni ya kwako:
"Mtu yoyote anayepinga Kadhi atakuwa amejitoa katika Uislamu hata kama amepambika kwa jina na mavazi"
Mufti hii kauli ni ya hatari kwa sababu nina hakika kutokana na ilmu yako unajuwa kuwa pindi tu ukimfanyia takfiri Muislamu basi damu yake inakuwa ni "halali" kumwagwa! achilia mbali hukmu nyingine kama vile kuachishwa mke Muislamu aliyemuoa, kutorithi, kutoaingia Makkah, kutokuzikwa katika makaburi ya Waislamu n.k
Je huoni kuwa umeihalalisha damu yangu na ya mamilioni ya Waislamu Watanzania tusiomtambua Kadhi wako kumwagwa na wafuasi wako? hiki ndicho ulichokusudia?

Pili, Mtume SAW anasema katika Hadithi iliyopokelewa na Imam alBukhari kuwa " (Muislamu yoyote) anayemuita ndugu yake Muislamu Kafiri basi kufuru inamrudia mmoja wao" Bukhari kitabu 78 uk.44
Hivyo kutokana na Hadithi hiyo na nyingine nyingi ambazo nina hakika unazijuwa ni kuwa aidha Waislamu uliyowafanyia takfiri ni Makafiri au wewe mwenyewe ndiye ambaye kufuru imekurudia na kuwa Kafiri.
Mimi na mamilioni ya Waislamu tusiomtambua Kadhi uliyemchagua hatujioni wala hatujiita kuwa ni makafiri hivyo kutokana na Hadithi hatutakosea kukuona wewe kuwa ni Kafiri.

Je umeona mlango wa shari ulioufungua? ninakunasihi Mufti kumcha Allah na kutubia haraka.
 
Kauli ya Ponda leo Mwembe Yanga Dsm mbele ya Waislam ambapo Wameweka msimamo kuwa Sensa mwiko kwa Waislam.Wametoa michango kueneza Zoezi hilo ambapo prof Lipumba wa Cuf katoa laki moja kuwezesha mgomo huo. wamepewe Mabango maalumu kupinga sensa na kwamba siku ya Sensa waislamu wote wame elekezwa kukimbilia Msikitini ambako wata anzisha maandamano Makubwa!
 
Kauli ya Ponda leo Mwembe Yanga Dsm mbele ya Waislam ambapo Wameweka msimamo kuwa Sensa mwiko kwa Waislam.Wametoa michango kueneza Zoezi hilo ambapo prof Lipumba wa Cuf katoa laki moja kuwezesha mgomo huo. wamepewe Mabango maalumu kupinga sensa na kwamba siku ya Sensa waislamu wote wame elekezwa kukimbilia Msikitini ambako wata anzisha maandamano Makubwa!

Kazi kweli kweli!
 
hili suala lijadiliwe kwa uwazi.serikali inatakiwa kueleza sensa ni nini na inasaidia nini.pia ieleze kwa nini kipengele cha dini hakipo,madhara na faida ya kipengele hicho yawekwe wazi na sio kubisha na kutisha tu.Je serikali itakapotoa takwimu zake za dini mbalimbali nchini zitatoka wapi?unapoingia chuoni au kazini kuna kipengele kinachoulizia dini yako sasa ni sababu ipi inayoifanya serikali ikatae kuweka kipengele hiki kwenye sensa?hivi leo hii akajitokeza mtu akasema idadi kubwa ya watanzania ni wapagani tutabisha au kukubali kwa takwimu zipi?
Kwa nini tumekubali kuwa na masomo ya dini mashuleni?kwa nini tunapumzika siku za idd na christmas wakati hatujui kama wengi wa watanzania hawana dini?tunaposema jumapili au ijumaa iwe siku ya mapumziko tunaongozwa na takwimu zipi?
Naamini kuna wasomi wanafanya utafiti juu ya makabila,lugha,dini au utamaduni wa watanzania je watapata vipi takwimu za mwanzo za tafiti zao?
Nasisitiza ni vyema serikali ikatoa maelezo ya kina na sio simple NO!
 
wakitaka kujua wako wangapi waangalie ni wangapi watakao enda kujificha misikitini... a very simple arthmetic

NIMEFURAHI SANA HII YA LIPUMBA.......

Lipumba yuko mstari wa mbele kuwasapoti.....hata arusha alikuja kusisitiza kuwa wasikubali kuhesabiwa......yuko nao bega kwa bega.....sijui kwa nini JK na Bilal hawawaungi waislamu wenzao mkono!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom