Sheikh Ponda katika ujanja wa Nyerere na muungano wa Zanzibar na Tanganyika

Muungano hauwezi kujadiliwa bila kutajwa hizi dini mbili? ukristo/uislam kwani haiwezekani kuunagana wakristo na waislam
Mgonjwa humuhitaji tabibu na Mtume Mohamad alikuwa mstari wa mbele kushughurika na wasio wacha Mungu,Muislam yoyote asiefuata maagizo ya Mungu wake ni kafiri hili liko wazi,kama hutaki kuungana na Wakristo wewe ni kafiri Upendo uliohubiriwa na Mohamad ulikuwa ni kwa watu wote na sio waislam peke yao.Ngoja tuwaachie Tanzania yenu Lkini kitakachowatokea kama kilichotutokea hapa Rwanda 1994 mtatia adabu maana mmekalia porojo tu Mungu ibariki EAST AFRICA MUNGU IBARIKI RWANDA

Taifa gani linalosimama kwa misingi ya kubaguana? Kuna watu wanacheza hapa. Wawaulizie Ireland
 
Wadanganyika bana wameingizwa mkenge CCM imewagawa na wao wamekubali kugawika, CCM itaendelea kuitatawala Tanzania mpaka mwisho wa dunia kama hutaki lia.

Bora mimi sijasema....watu wako busy wanamsikiliza mtu ambaye mwisho wa yote anaishia kusema tu. Na upeo wake kwenye mambo ya uongozi ni makubwa kiasi gani? Ni rahisi sana kufikiria utapenyeza mambo ya msingi kwako ukiwa nje ya uongozi. Ukipewa uongozi it becomes impossible
 
Very myopic analysis.
Villagisation did not take place in Mbeya, Arusha, Moshi and Ruvuma regions because of presence of permanent cash crops (coffee).
He should know that where there is coffee, there is politics.

He should go back to school.
 
Siamini kama Mungu yupo j2 tu.hapa jiulize nani anabaabudu Mungu wa kweli

Kwahiyo unataka wote tukeshe kwenye nyumba za ibada halafu tupate wapi hela ya kununulia suruali na viatu? Maendeleo ya kidunia tuyafanye saangapi? Kuingia msikitini/kanisani kila cku si ndo sababu ya kujivunia eti Mungu yuko karibu nawe
 
Joka kuu,
Suala la ulilolisema ni la msingi sana kuhusu hawa viongozi wetu wa dini kuongea vitu vya uhakika kwa kufanya utafiti maana hao wanapotoa upotoshaji wa aina yoyote waumini hubeba upotoshaji ndani ya vichwa vyao. Bila ya shaka waumini wengi wamepotoka kwa kusikiliza na kuamini kila kitu asemacho kiongozi wake wa kiimani bila ya kuchambua kiongozi wake katumia utashi wake binafsi au mwongozo wa kidini. Chuki dhidi ya dini nyingine ndo vimekuwa mijadala ya msingi kutoka kwa viongozi wetu wa imani na wengi wao huchaguliwa kutokana na uwezo wao wa kukashifu dini nyingine na sio elimu, utashi, nidhamu, kipaji cha kuongoza wala hekima zake.

Mtu kama Ponda ambaye kila siku anapanda majukwaani kukashifu ukristo sitegemei kwamba anaweza kujenga hoja za maana kwaajili ya maendeleo ya nchi na inashangaza hata wasomi na waelewa wa mambo pale wanapomezwa na kuzama katika hoja mfu za Ponda katika kueneza chuki za kidini kwa kisingizio cha kutetea uislamu hata pale pasipofaa kufanya hivyo.

Arudi kwanza shule apate elimu halafu ndipo aanze kuongelea hoja za msingi za kitaifa la sivyo akafundishe tu madrasat akaeneze chuki zake dhidi ya ukristo maana huko ni rahisi sana kupandikiza hiyo mbegu yake ya chuki na kukubalika kirahisi.

religion is a opium of the people.
Watu hawataki kusoma, wamekalia uswahili tu, leo wako overtaken na events wanapiga kelele...
 
Mikoa yenye neema ya Uislam......

examine those areas critical, uone ujinga na uvundo wa maeneo hayo....
ujinga mtupu tuu yaani hawa watu maisha yao ni ya sharishari tuu....
hivi mtu kuwa shehe unaitaji elimu gani...maana lazima vigezo viwepo...?
 
Dini zote ni bora kwa muhusika. Hata mimi dini yangu ni bora kuliko yoyote ile. Bahati mbaya, Tanzania, kwenye katiba yake haiitambui dini yoyote. So sorry for thinking you are on top of others sababu ya dini yako

Ujinga huu wa dhambi ya udini unasambaa kwa kasi kubwa sasa unalelewa na CCM watu wa usalama wa taifa mko wapi? Rais mwenyewe nae kimya hakemei ujinga huu,tukiendekeza hili suala nahofu kupotea kwa amani ya nchi yetu.****** AMKA KEMEA HILI.au umeliona la NASARI tu.
 
Nyie wazenji mbona mnatapatapa bure kama watu msojua kufikiri,matokeo yake mnaanza kujibizana hovyo na ndugu zenu watanganyika.Nyie mna serikari yenu komaeni nayo ijitoe kwenye muungano maana serikari yenu ndo wanafiki mmewapa madaraka na hawataki kuwatimizia matakwa yenu wamebaki kujikomba kwenye serikali ya muungano. Timueni wote muweke madarakani viongozi watakao watimizia matakwa yenu
 
vp yule anaefanya safari(bila kujali ana imani gani) na huku nyuma akiacha hamna amani baina yake na jirani yake(iwe majumbani maofisini, miahdharani, kwenye mabasi nk. nk.)....si kafir pia?

rejea maana ya kafir,
kma c muislam bac yey ni kafir,
coz kafir na muislam ni majina yenye kupingana(opposition) na kamwe hayatakaa pa1
 
Songoro,

..mimi naziheshimu sana dini.

..sasa nasikitishwa sana pale kiongozi wa dini anapopanda jukwaani na kutoa matamshi ambayo hajayafanyia utafiti, au ameyafanyia utafiti halafu ameamua kuupotosha umma.

..alichofanya Shekhe Ponda siyo kuwatetea wa-Zanzibari bali kupotosha historia nzima ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

AMA KWELI WEWE (JOKA) HUFAHAMU CHOCHOTE ZAIDI YAKUSIKIA, HISTORIA YA ZANZIBAR HUWIJUU KWA HIO KAA KIMYA , MAMBO YA NGOSWA MUASHIE NGOSWA MWENYEWE WEWE SIO MZANZIBAR KWA HIO HISTIRIA YA ZANZIBAR HUIFAHAMU.

99% YA WAZANZIBAR NIWASLAMU LAKINI LINALO DAIWA HAPA NI HAKI YA ZANZIBAR NDIO PIN POINT.

[h=1]Video- Kongamano bwawani ’3′[/h]Written by Nahisi kichefuchefu nikikumbuka muungano // 21/05/2012 // Habari, Vidio // No comments





[h=4]Related Posts[/h]
 
Tatizo ni kwamba hatuna historia ya nchi yetu kimaandishi hivyo mtu yeyote anaweza kutunga lolote analofikiria kuwa sawa ili mradi anawakilisha hoja yake na kwa bahati mbaya hakuna majibu ya kweli mahala popote. Aloyasema Ponda ni tungo ambazo zimetungwa kuaminisha watu kwamba kuna mfumo kristu unaoendesha nchi hii kiutawala na bahati mbaya mfumo mzima wa kiutawala umeshindwa kutoa majibu wala kukana dhana hizi..

Hivi Nyerere alipokwenda weka mkataba wa Uhuru wetu ni wananchi wangapi walishirikishwa? Je kama hatukushirikishwa ina maana tuukatae Uhuru wa Tanganyika na hata Zanzibar kwa sababu wananchi wote hatukushirikishwa ktk mikataba hiyo?.
 
Back
Top Bottom