Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
raisi na kijani wenzie wanahusika big up kaka.Hapo pekundu sikubalini na wewe.
raisi na kijani wenzie wanahusika big up kaka.Hapo pekundu sikubalini na wewe.
kwa sababu serikali yenyewe inahusika,na kwa sababu imeshindwa kutawala na kuongoza pia inatumia mbinu dhaifu kuwatumia watu wenye elimu finyu kutaka kutawala kijanja bila kujua kwamba wanaihatarishia nchi usalama wake.Hili la kwamba siyo raia walishalisema sana lakini halina nguvu kwa sababu kila mtu ambaye ni mpinzani aanambiwa siyo raia. Nakumbuka hata Gen. Ulimwengu walisema kuwa siyo raia licha ya kuwa aliwahi kuwa mkuu wa wilaya!!!!
Hoja ya msingi ni juu ya hao wafadhili wanampa kichwa cha kuchochea vurugu. Wewe unadhani kwa nini serikali haimchukulii hatua licha ya kujua hayo yote uliyoyadai????
Kama si mtanzania ,kama mnakumbuka dar es salaam wizara ya uhamiaji ilitoa details za kutosha kuthibitisha kua ni mtz??
dini ndio zinavuruga watu kiasi cha kubishania upuuziBasi kama ni hivyo utakuwa umevurugwa hujijui.
a.k.a stelingi wa kihindi by SINTAkwa hiyo unamaanisha Sheik Ponda ana mkono wa Sweta?
Usalama wa taifa wanatakiwa kuwa na file lake loote na shughuli zake zoote kama anapata pesa nje wanatakiwa kujua wapi na kwa nani na kwa nini, ndio kazi yao sio kumteka Ulimboka!
Walishamkamata na kumfukuza nchini miaka ile ya mwembechai,sijui iliishiaje wakamuacha tena, sasa ameshakuwa sugu maana ni mzoefu kwa sasa.
Wacha ajitokeza kubisha tumwage SUMU humu, tumechoka kumvumilia...
Kwenye red text. Wataje hapa laiv.
Hakuna Wizara ya uhamiaji? === MPUUZI WEWE
Yaani nyie ndo matango kweli wewe ndo sio mtanzania na kardinal pengo wako.Hata huyu mlie mzika mara kumi kumi nae tumepata habari zake ni mrwanda mbavu kabisa.Go ponda will always behind you.
Askofu Pengo ameingiaje kwenye mada?
Huu ndio utaahira wa watu fulani. Na ndio maana hata juzi walienda kuchoma moto makanisa kwa ishu ambayo haikuwa baina yao na kanisa. Mi nasaha zangu kwa Watanzania wenzangu ni kupenda kusoma.
Mnapoongozwa na watu wasio na elimu na nguvu ya ufahamu, uwezo wenu wa kuamua mambo unakuwa limited kwa yale mliolishwa. Ndio maana jamii zenu zinakuwa na mambo ya ushirikina kwa sababu hizi hizi za kukosa tafakari na reasoning. Ukipiga tu chafya, basi kuna mtu anakusema, bila kuzingatia kuna mgeni kaingia na marashi makali.
Mnapokuwa na akili za namna hii mnakuwa mzigo kwa jamii.
Ndugu Wanabodi,
Napenda kuwaambia Watanzania wapenda AMANI na UTULIVU kuwa Sheikh Ponda Issa Ponda SIYO Mtanzania na kuwa ni Mtu wa Burundi aliyeingilia Kigoma na kuzamia Dar es salaam. Bw. Ponda analipwa na baadhi ya Watanzania walioko nje ya nchi kuratibu shughuli zote za vurugu kupitia mgongo wa dini ya Kiislmu ambayo hata siku mmoja mafundisho yake hayaelekezi watu kufanya vurugu na mauaji bali AMANI.
Bw. Ponda, anafadhiliwa na watu hao walioko USA, UK na nchi za Uarabuni. Nawathibitishia hili manake hata wakati wa sensa Bw. Ponda kupitia pesa hizo hizo aliweza kutoa machapisho tena za gharama akazisambaza nchi nzima kwa kutumia vijana ambao anawalipa yeye na yeye mwenyewe akiwa anazunguka katika baadhi ya mikoa kama ya Kigoma na Tanga. Wafadhili wake wengine tunawafahamu hadi kwa majina, akibisha tutamwaga hapa...!
Nimeona niwaambie hili ili mjue kuwa Ponda siyo kuwa natetea maslahi ya Waislamu bali TUMBO lake, pili, hana uchungu na vurugu ambazo anaziendesha hapa nchini. Tumekuwa tukirudi nyuma kwa uchumi siyo tu kwa sababu ya Rais wetu lakini pia kutokana na watu wachache kama hawa wakina Ponda.
Nina imani kuwa vyombo vya USALAMA vinafahamu hili lakini wameshindwa kuchukua hatua.