Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Sheikh Ponda akiwa anaongea kupitia Redio Imaan amesema waumini waliokamatwa katika kudai haki yao kwa kudhiaki Mtume Mohammed, Sheikh Ponda amamtadhalisha Kamanda Kova Kuwaachia waumini ambao hawana hatia kurudi majumbani kwao bila
ya kudhuliwa na police
SOurce: Redio Imaan
Mytake;
Kamanda Kova sikiliza kilio cha Sheikh Ponda Yatakukutaa!
ya kudhuliwa na police
SOurce: Redio Imaan
Mytake;
Kamanda Kova sikiliza kilio cha Sheikh Ponda Yatakukutaa!