ogm12000
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 304
- 86
Kuna jamaa mmoja alikuwa amelewa sanaa, Akawa akipita sehemu ambayo sheikh anatoa mawaidha mazito kuhusu siku ya kiama
Sheikh. Ndugu zangu waislamu tumrejeee mwezi mungu, maana siku ya kiama kwa wale wasiofuata maandiko watakuwa ni wenye kupata hasara kubwa.
Mlevi: ghafla akasimama na kuanza kusikiza kwa mbali kidogo
Sheikh : Akaendelea kutoa mawaidha makali........
Mlevi: ghafla Akayuka kwa sauti kubwa........Watisheeeeeeeeeeee watishe haooooooooo
Waumini wakageuka kumwangalia mlezi kwa hasira
Mlevi: Msiangalie mimi mwangalie huyo anae watisha...
Wamuumini wakashindwa kuvumilia.....wakamtombotomboa....
Sheikh. Ndugu zangu waislamu tumrejeee mwezi mungu, maana siku ya kiama kwa wale wasiofuata maandiko watakuwa ni wenye kupata hasara kubwa.
Mlevi: ghafla akasimama na kuanza kusikiza kwa mbali kidogo
Sheikh : Akaendelea kutoa mawaidha makali........
Mlevi: ghafla Akayuka kwa sauti kubwa........Watisheeeeeeeeeeee watishe haooooooooo
Waumini wakageuka kumwangalia mlezi kwa hasira
Mlevi: Msiangalie mimi mwangalie huyo anae watisha...
Wamuumini wakashindwa kuvumilia.....wakamtombotomboa....