Kidotulotokordwak
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 286
- 43
Walani kwa kutoa vigezo ambavyo vinadhibitisha serekali c dhaif,co wanaropoka,hii c ile dini ambayo weng hawajasoma kila cku ni kuropoka
Vipi kuhusu yale yanayoliwa na Aghakhan? Hayajaturudisha nyuma?
Walani kwa kutoa vigezo ambavyo vinadhibitisha serekali c dhaif,co wanaropoka,hii c ile dini ambayo weng hawajasoma kila cku ni kuropoka
Hao viongozi wa dini wametua nchini leo? na kama jibu ni hapana, wana maoni gani kuhusu Lucinde kuanzia Arumeru hadi Dodoma?
ha ha ha ha Viongoz wa Kikristo wana akili siyo watu wa kukurupuka, watoe tamko kwa lipi?, wao siyo dhaifu kama huyo shekhe wa Dodoma,
Ila waislam wanaoongoza taifa la Somalia wamefanikiwa kuifikisha nchi kwenye mafanikio makubwa sana maana Al shababu juzi juzi wameweza kujenga university kubwa sana pale Somalia na wametoa nafasi kwa sie waislam wenzao wa Pemba na Unguja bila kusahau huku bara tuweze kujiunga nayo hasa pale baraza la mtihani likionesha dalili za kuwapendela wakristotatizo la serekali ya CCM inamwaga mapesa mengi kwenye makanisa kwa kisingizio Cha MOU?
pesa hizi wangaliwekeza ktk sekta ya Elimu kwa taifa. nchi ingalikuwa mbali.
sijaona kanisa duniani likangoza nchi pakwa panamafanikio
Dini ya Kina Kadinali Pengo mkuu, maana wanaona labda mkuu wa nchi anaweza kuwakatishia ule mgao wa MOU wa kanisa na huenda zile ruzuku za kanisa zikasitishwa na pia, misamaha ya kodi pia ambayo watu wengi hupenyea kwenye kanisa , sasa huenda watu wakaamka na udhaifu huu wa mkuu kwa hiyo wamekemea !
Za NECTA?.....waambie waje basi hapa kijiweni kama hawataumbuka! unafikiri kuna Ndali.chako wa kuwabeba hapa? hawatakuja!Viongozi wa Kikristo huwa hawakurupuki. Wameenda shule sio kama wenzetu.
kwani viongozi wa dini ni akina nani? akina lusekelo hahaha, hao nao unawaita ni viongozi wa dini? dini kwa matajiri tu? hata wenyewe ni dhaifu kama mwenzao. baada ya kuwalaani UAMSHO wanazidi kumaliza makanisa yao wapo kimya wanamlaumu mnyika anaetetea maslahi ya wanyonge kwa kusema ukweli.ni kuhusu kauli yake kwamba JK ni dhaifu
source: habarileo
MY TAKE
Kama rais ni dhaifu halafu anadumu miaka 7. ni wazi wanaongozwa nao wamechoka mara 1000.
Maana hao waliokuwa wamejikaza hata Ikulu hawaingii mpaka waalikwe kwa barua rasmi.
TUACHE KEJELI KWA WATZ