Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
- Thread starter
- #41
Dawa ya wajinga ni kuwapuuza tu kwa sababu wanaumwa na ujinga wao wa kutopenda shule!
Mnalumu JK. kumbe mnasahau. matatizo ya tz inatokana na CCM kulibeba kanisa badala ya tz.
haya mapesa ya MOU yanayliwa na makanisa yangalitumika kwa watz kupitia serekali. tz ingalikuwa mbali sana.nangoja katiba mpya nilizungumze hili kwa upana ili tz tuendelee