Jumatano Sheikh Mansour amefikia kiwango cha £400million na kuweka record ya Club za uingeleza baada ya kumnunua mchezaji mahiri Sergio Aguero wa Algentina kwa pound 38million. sawa na 152billion (Hii hela sisi tunanunua mtambo wa 100Mega watt kama sikosei)
Wachezaji wengine ambao Sheikh huyu tishio kwa utajiri ni:-
Joleon Lescott (£24m),
Alexsandar Kolarov (£20m),
James Milner (£24m),
David Silva (£26m),
Yaya Toure (£24m),
Emmanuel Adebayor (£25m),
Mario Balotelli (£24.5m),
Edin Dzeko (£27m)
Carlos Tevez (£25m) and
Sagio Aguero (£38).
Sasa msimu huu tutapata jibu kwamba Mpira ni PESA au ni mbinu na kujituma kwa wachezaji:
Kwa wana soka hebu tujadili nafasi ya Man U , Asenali (Chenga twawala) The Blues (Wazee wa samba la uingeleza) na watani wangu ambao huwa hawakati tamaa miaka yote -Liverpool yaani U will neva wok alone !!!! msimu huu.
Mi bado nawapa nafasi Watoto wa Darajani chini ya AVB:
Wachezaji wengine ambao Sheikh huyu tishio kwa utajiri ni:-
Joleon Lescott (£24m),
Alexsandar Kolarov (£20m),
James Milner (£24m),
David Silva (£26m),
Yaya Toure (£24m),
Emmanuel Adebayor (£25m),
Mario Balotelli (£24.5m),
Edin Dzeko (£27m)
Carlos Tevez (£25m) and
Sagio Aguero (£38).
Sasa msimu huu tutapata jibu kwamba Mpira ni PESA au ni mbinu na kujituma kwa wachezaji:
Kwa wana soka hebu tujadili nafasi ya Man U , Asenali (Chenga twawala) The Blues (Wazee wa samba la uingeleza) na watani wangu ambao huwa hawakati tamaa miaka yote -Liverpool yaani U will neva wok alone !!!! msimu huu.
Mi bado nawapa nafasi Watoto wa Darajani chini ya AVB: