Sheikh Issah Ponda ni Mwanaharakati halisi

aduwilly

JF-Expert Member
Mar 11, 2009
1,176
305
Ukweli utabaki kuwa ukweli hata kama mamia ya watu wataupinga au hakuna yeyote ataeukiri hadharani kuwa ni ukweli. Wakati wanaharakati wengine wakiitwa kuwa wanaharakati kutokana na majina ya taasisi wanazozitumikia kuwa za kiharakati, SHEIKH ISSAH PONDA ni mwanaharakati kutokana na matokeo chanya ya vitendo vyake.

Ni juzi tu ametoka kudhihilisha hili tena kwa kuwezesha jamii kubwa ya waislam kuridhia kuwa sensa lazima iweke kipengele cha dini kwani itasaidia sana kujua idadi za watu kulingana na makundi yao (umri, jinsia, dini n.k)
Kama hiyo haitoshi amekuwa shupavu kupambana na tamaduni za magharibi zinazokinzana na matendo safi mbele za Mungu na Binadamu, mfano mzuri ni pale alipotetea kwa ujasiri kitendo cha Rais Mstaafu Alhaji Ally Hasan Mwinyi kupigwa kofi kwa kosa la kutangaza kwenye maulid kuwa Kondom ni njia sahihi ya kupambana na maambukizi ya ukimwi.

Kwa hayo machache pamoja na mengine mengi Sheikh Issah Ponda amejipambanua kuwa mwanaharakati halisi asiye na hata chembe ya woga katika kutetea kile anachokiamini.
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli hata kama mamia ya watu wataupinga au hakuna yeyote ataeukiri hadharani kuwa ni ukweli. Wakati wanaharakati wengine wakiitwa kuwa wanaharakati kutokana na majina ya taasisi wanazozitumikia kuwa za kiharakati, SHEIKH ISSAH PONDA ni mwanaharakati kutokana na matokeo chanya ya vitendo vyake.

Ni juzi tu ametoka kudhihilisha hili tena kwa kuwezesha jamii kubwa ya waislam kuridhia kuwa sensa lazima iweke kipengele cha dini kwani itasaidia sana kujua idadi za watu kulingana na makundi yao (umri, jinsia, dini n.k)
Kama hiyo haitoshi amekuwa shupavu kupambana na tamaduni za magharibi zinazokinzana na matendo safi mbele za Mungu na Binadamu, mfano mzuri ni pale alipotetea kwa ujasiri kitendo cha Rais Mstaafu Alhaji Ally Hasan Mwinyi kupigwa kofi kwa kosa la kutangaza kwenye maulid kuwa Kondom ni njia sahihi ya kupambana na maambukizi ya ukimwi.

Kwa hayo machache pamoja na mengine mengi Sheikh Issah Ponda amejipambanua kuwa mwanaharakati halisi asiye na hata chembe ya woga katika kutetea kile anachokiamini.

Nenda kawaambie wenzio kwenye vijiwe vyenu vya kahawa sio hapa
 
Atarudi lini kwao Burundi?

So huamini ka mtanzania anaweza kuwa mwanaharakati shupavu like yeye? Kumbe wewe ndo wale wale wanaoamini kuwa Nyerere alikuwa mrwanda that y ali-manage kila kitu kizuri alichokifanya
 
Kuna vitu vitatu - FREEDOM, JUSTICE na EQUALITY ambavyo waumini wa kweli tumemrishwa kama ibada kubwa ya HUMANITY (UTU) na vikikosekana hivi tuna ruksa ya kuvipigania popote pale. Sasa kama wewe Mkristu na unapigania vitu hivi basi unafanya jambo la Kiislaam haijalishi wewe Sheikh Ponda au Razaro Mkaruka..
 
Back
Top Bottom