Mmwaminifu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 1,130
- 302
mkulu yupo oman, anatembea tu, huyu baba huyu, cjui alikuaje rais??
Inawezekana kule kula mweleka jukwaani uwanja wa Jangwani na kuvutwa mguu mwanza kulikuwa kunatupatia ujumbe fulani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkulu yupo oman, anatembea tu, huyu baba huyu, cjui alikuaje rais??
Hii yote inathibitisha kuwa uislamu ni dini ya vurugu na fujo!
Kwanini hawaishi kuleta vituko na fujo kila mara?
Hawa ni mawakala wa shetani,lazima tujiepuke nao!
Mwenyekiti wa Jumuia ya Maimamu Zanzibar (JUMAZA) sheikh farid inasemakana amekamatwa zanzibar na vurugu zimeanza kutokea baada ya waislam kupinga kitendo hicho.
na hapa dar umati wa waisam sasa wanaelekea katika kituo cha Polisi kujua hatma ya sheikh Ponda issa ponda.
My take. kama serekali haitokuwa makini na kubase upande mmoja wa imani na kuufanya ndio wa kitaifa na kudharu upande mwengine, hali ya amani inaweza kutoweka wakati wowote kuanzia
Makanisa yalindwe jamani Hawa boko haram hawafai
Wakati wanaanzisha zali hawakujua kuwa na serikali inaweza kuanzisha zali la mentali.
Kwa hali ilivyo sasa, hata wakristo watakosa uvumilivu na kuingia vitani
Siyo jambo jema kwa PONDA kuanzisha vurugu, lakini pia siyo jambo jema kwa watu kupigwa mabomu kwa sababu ya kutaka mwenzao(PONDA) aachiwe kwani kuna namna nyingi tu za kutawanya hiyo mikusanyiko.Waache wapigwe mabomu ndio watajifunza kutokana na ushabiki wa dini uliokubuhu!
sifikirii kama wakiristo wanweza kuingia vitani. maana nakumbuka Lebanon baada ya machafuko ya kidini ikaja katiba inayotaka waislam na wakiristo wapate nafasi sawa za uongozi , jambo kwa tz linaweza likawaathiri zaidi ya wakirsto kuliko waislam
wangefunguliwa hata vioski, wauze urojo na bagia, kuliko kutwaaaaaaa kuandamana! hawachoki?? hawajioni mahayawani?? nimemini kutokwenda shule ni UJINGA mkubwa sana, nitawasisitiza watoto wangu kusoma, tena kusoma kwa bidii mpaka pumzi yangu ya mwisho! i pitty them!
tatizo la watushi wasio waislam ndani ya ofisi za serekali wanatumia imani zao kupambana na uislam ndio ndio maana tz inaelekea siko. katiba na sheria za nchi zingalifuatwa kama inavyotakiwa haya yasingetokea
bury him alive
Mjomba akatishe ziara huko Oman! Arudi nchini,asikimbie majukumu yake.