Wakuu taarifa ambazo nimepata katika pita pita zangu nimeambiwa kiongozi wa kikundi cha Uamsho Sheikh Farid amewahi kutumikia Jeshi la Qatar. Mwenye taarifa zaidi atujuze ni lini aliacha utumishi Jeshini na anafadhiliwa na nani.
************
Oktoba 24, 2012
************
Oktoba 24, 2012
Sheikh Farid wa Uamsho ni Raia wa Yemen-Jambo Leo 24/10/12
....Ametumikia jeshi la Qatar
....Amepitia mafunzo ya Al Qaeda
My take:
Kwa nini hawa wahamiaji wanaachiwa sana watambe kuvuruga amani ya Tanzania. Tunaona muhamiaji mwingine Sheikh Ponda anavyovuvuruga na tunamlea lea tu..