"Hakika sisi tumewaandalia makafiri minyororo na pingu na moto mkali'' Quran: 76:4.
"Hakika watu wema watakunywa katika vinywaji vilivyochanganywa na kafur**i" Quran:76:5.
"Na humo watanyweshwa kinywaji kilicho changanywa na tangawizi" Quran:76:17
"Watanywesha kinywajisafi kilichotiwa muhuri" Quran:83:25
**Kafuri= aina ya kitu chenye ladha kama mdalasini au menthol (pipi kifua)
Bado unakimbia na kuogopa kujibu swali: Hilo jina la islam lilitungwa lini na Marehemu Muham-mad? Ngoja nikusaidie, Hivi lilitungwa alipo pewa utume na mkewe au alipo pigwa kabali na Gibreel?
"Sema; Hakika Mola wangu Mlezi ameniongoza kwenye njia iliyonyooka, Dini iliyo sawa kabisa, ambayo ndio mila ya Ibrahim aliyekuwa mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa washirikina. Quran:Al Ana'am 161.
(Dini ya Muhammad S. A. W, ni Dini ya Ibrahim na Ibrahim A.S, yeye hakuwahi kuwa Mshirikina = kuabudu sanamu au waungu watatu !)
Aiseeeeh kumbe hata kusaliamia sasa itakuwa tabu na hawa
kaka vipi ? mbona unazibeza sana karatasi za chooni? kama mmelazimishwa kutawaza na maji kwenye korani si powa tu..its a matter of choice..!we unaringa mpaka kutawaza na maji bana...mbona uko low sana! sasa na dada zenu wanatumia taulo za akina mama zilizoainishwa kwenye korani au za kisasa? dah!Kumbe kunawa kwamaji niuchafu,na kunawa kwa makaratasi ndio usafi?
Natarajia iko siku mutatumia makaratasi kuogea badalaya maji labda mutasafika zaidi.
Kuhusu UISLAM :ni neno la kiarabu lenye maana ya kujisalimisha na maovu Au kujitenga na maovu,ndio maana waislam wakatumia jina hili ili kujitofautisha na waovu au wanaoendeleza maovu.
waende dubai wakaone wenzao..! dini za kudandia huwa zinasumbusua sana watu!jamanii,hii si nchi ya kidemokrasia na mtu yeyote anaefikiri hii nchi ni yake au ni mzalendo asilimia mia,atajikuta anapoteza kila kitu.saudia,oman,indonesia kuna mabar,zanzibar ndio waislamu safi au waislamu wanafiki wanochanganya siasa na dini
Kumbe Allah ni mwana siasa. Astakafulah.
<br />safi sana, choma bar zote hizo, washenzi hao wanataka kuharibu maadili ya zanzibar, bora muungano ufe ili zanzibar iwe nchi ya kiislam halafu tumuone mwanaharam yoyote anakuja kufungua bar, tutanyongaaa.
safi sana, choma bar zote hizo, washenzi hao wanataka kuharibu maadili ya zanzibar, bora muungano ufe ili zanzibar iwe nchi ya kiislam halafu tumuone mwanaharam yoyote anakuja kufungua bar, tutanyongaaa.
Mkakati,Mchakato na mpango ukifanikiwa nahamishia familia yangu zenji
<br />Zanzibar The Zanzibar Muslim Youths Mobilisation and Propagation group has said it supports the recent wave of burning of bars in the isles, and vowed to take tougher action against people selling alcohol.<br />
<br />
<br />
"We support those burning bars, although we have not urged them to do so. We ask the government to make sure all small restaurants and bars are closed....," the group's leaders, Sheikh Msellem Ali, Sheikh Azzan Khalfan and Sheikh Abdallah, said.<br />
<br />
Sheikh Abdallah said: "We want all bars and restaurants to be closed.... read more <a href="http://allafrica.com/stories/201109020273.html" target="_blank">allAfrica.com: Tanzania: Zanzibar Group Supports Arsonists Targeting Bars</a>
Kumbe kunawa kwamaji niuchafu,na kunawa kwa makaratasi ndio usafi?
Natarajia iko siku mutatumia makaratasi kuogea badalaya maji labda mutasafika zaidi.
Kuhusu UISLAM :ni neno la kiarabu lenye maana ya kujisalimisha na maovu Au kujitenga na maovu,ndio maana waislam wakatumia jina hili ili kujitofautisha na waovu au wanaoendeleza maovu.
hawa jamaa wangekuwa wanajua eco-system, wala wasingethubutu kuwaSijui kama huu ndio ule 'uliberali' aliokuwa anaongea Jussa kwenye mdahalo week iliyopita. Kitu kinachonishanga ni kwamba hadi sasa serikali haijasema chochote kuhusu huu uchomaji wa bar! Lakini kodi wanapokea bila shida. Malipo ya VAT kwa upande wa zanzibar pombe ndio inaongoza kwa kutoa kodi.
Lakini jambo moja kubwa ni uchumi wa Zanzibar. Utalii ndio sekta inayoongoza. na hizi taarifa za kuchoma moto zimeshaanza kusambaa kwenye international media outlets. Sasa hivi hotel zote zikifungwa watu wataathirika vibaya. Sio muuza nyanya wala mwendesha taxi atakayesalimika. wote watapoteza mapato.
Sijui ni idea ya nani hii ya kuchoma bar. na dhambi ni kunywa pombe tu?