Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,820
CCM na POLISIPonda kutakuwa tu na mtu ampaye kiburi,siyo bure..
CCM na POLISIPonda kutakuwa tu na mtu ampaye kiburi,siyo bure..
Wengine ni wasomi haswa, na wanafanya vitu vya ajabu, kuna tatizo lingine nyuma ya pazia.Tatizo kubwa na elimu waliyonayo wenzetu hawa
CV yake inaonekana jina tu, hana background ya kitaaluma, wala hana uzoefu wa kiutendaji.
Bakwata waliuliza amegraduate chuo gani cha kiislam, akakosa jibu
nimemuona kwenye tv jioni ya leo akizungumzia vurugu za mbagala -alikuwa yeye na wenzake nadhani ni masheik wenzage.hoja anayojenga anadau serikalu ndio ya kulaumiwa sababu haishughuliki matatizo ya kidini sababu rais kaenda kuangalia makanisa yaliyoharibiwa na hakwenda kuangalia misikiti ambayo polisi waliwapiga watu-akaonyesha na kilungu ambacho anadai wamekikuta msikitini.my take huyu sheikh ni juha na punguani amekwepa kabisa kuzungumzia unyama ukafiri na ufedhuli waliofanya kwa makani.
Sheik ponda ni ibilisi mwana wa nyoka aogopwe na kulaaniwa kabisa
sheikh ponda siyo janga kama sheria ingekuwa inachukua mkondo wake. Wacha serikali impe kichwa kwa kuendeakeza sera za udini.
haya matendo yanayofanyika nahisi kuna mkono wa al kaida au boko! Hii sio dini!!
Waislam tusikubali kutumika kwa maslahi ya watu wachache......wenzetu wanatutuma wao wanalipwa sisi tutafia segerea na familia zetu kutaabika
hana hoja,uwezo mdogo wa kufikiri ni "sheikh ubwabwa" hakuna muumini wa kweli wa dini ya kislamu anayeweza kuchoma moto nyumba ya ibada ya madhebu mengine kimsingi hawa ni wahuni na makafiri waliojificha katika kivuli cha uislamu
huyo mzee ni uamsho!
wekeni cv yake hapa
huyu jamaa lazima analindwa sio bure.
sure mkuu i know muslims ndi ndugu/jamaa zangu nmeishi nao vizuri
cv atoe wapi huko kuku mkuu??
Kova si alisema atamkamata wakati wowote
watanzania, shekhi ponda sio janga, ni mpuuzi mmoja anayejua serikali ni dhaifu na anaiburuza, he is like a spoilt b****
wamtandike viboko marambili tu uone kama atakua anongea-ongea
hivi hakuna kabisa vija wa kikristu kumpfundisha huyu kuku adabu?
na hizo tivii zinazompa airtime ni pumbavu kabisa
mkuu inspectorbenja huyo ponda kaonyeshwa tv gani? Nivizie marudio sijawahi kumuona na hamu nae ile mbaya
kuna tofauti gain kati ya hawa mashekhe wawili
sheikh issa ponda na sheikh jakaya mrisho
mkuu haya mambo sasa yanachosha
hata sheria haina haja, zaidi busara za rais tu. Kwa kweli yametukuta na rais wetu huyu
tatizo kubwa na elimu waliyonayo wenzetu hawa
star tv
ah mkuu hapa sasa ....................
huyu mzee lazima awekwe chini ya ulinzi mkali sana maana ametusumbua sana kwenye sensa kiasi kwamba taarifa ya sensa inatiliwa mashaka, sasa analianzisha la udini na ndio hawa wanaisema chadema ni chama cha kikristo.ya huyu kova angefanya mambo yetu kama yale ya kule mbeya wakati ule. Huyu mzee angetulia kimyaaa.
the later is the boss of the former. Other wise ni ndugu moja!
ponda kutakuwa tu na mtu ampaye kiburi,siyo bure..
The later is the boss of the former. Other wise ni ndugu moja!
haya matendo yanayofanyika nahisi kuna mkono wa al kaida au boko! hii sio dini!!
waislam tusikubali kutumika kwa maslahi ya watu wachache......wenzetu wanatutuma wao wanalipwa sisi tutafia segerea na familia zetu kutaabika
Viongozi wa jeshi la polisi walisema siku chache zilizopita kuwa Sheikh Ponda atakamatwa nadhani muda bado,but kama sheria za nchi zingalikuwa zinafanya kazi Sheikh Ponda angelikuwa mikononi mwa vyombo vya dola na mahakama si kwasababu ni muislam bali kwasababu ni Mchochezi,mani na upendo ambao waislam na wakristu wamekuwa nao miaka nenda rudi yeye amekuwa kinara wa vurugu hata katika imani yake.
toa uendawazimu wako.
mmemkimbilia ponda sababu ni muislam mmesahau ya mchochezi namba moja padree slaa ama kweli manyani hayajioni makundule.
nimemuona kwenye tv jioni ya leo akizungumzia vurugu za mbagala -alikuwa yeye na wenzake nadhani ni masheik wenzage.hoja anayojenga anadau serikalu ndio ya kulaumiwa sababu haishughuliki matatizo ya kidini sababu rais kaenda kuangalia makanisa yaliyoharibiwa na hakwenda kuangalia misikiti ambayo polisi waliwapiga watu-akaonyesha na kilungu ambacho anadai wamekikuta msikitini.my take huyu sheikh ni juha na punguani amekwepa kabisa kuzungumzia unyama ukafiri na ufedhuli waliofanya kwa makani.
sheik ponda ni ibilisi mwana wa nyoka aogopwe na kulaaniwa kabisa
mmemkimbilia ponda sababu ni muislam mmesahau ya mchochezi namba moja padree slaa ama kweli manyani hayajioni makundule.