Tajiri Mtoto
JF-Expert Member
- Feb 12, 2009
- 221
- 589
Wadau kuna taarifa kuwa kuna shehena ya sumu hatari ya "Cyanide" iliyokuwa ikisafirishwa kwenda kwenye moja ya migodi kanda ya ziwa imezuiliwa katika kituo cha polisi cha Chalinze kwa karibu wiki sasa. Kuna mtu ana taarifa ya kinachojiri?