Waridi
JF-Expert Member
- Mar 30, 2008
- 1,025
- 172
Wakuu,
Hebu na tujuvyane sawia huu mwaka mpya umesheheni mambo gani.
Nalianzisha, tafadhali orodha iendelee
Hebu na tujuvyane sawia huu mwaka mpya umesheheni mambo gani.
Nalianzisha, tafadhali orodha iendelee
- Mwaka ambao hakuna hata kiongozi mmoja wa baraza la mawaziri la kwanza-Tanganyika huru aliyeko hai
- Mwaka wa uchaguzi mkuu Tanzania
- Mwaka wa kuanzishwa kwa sarafu moja ya Afrika mashariki
- Mwaka wa michuano ya kombe la mataifa ya Afrika
- Mwaka wa michuano ya kombe la dunia, kwa mara ya kwanza inafanyika barani Afrika
- Mwaka wa kimataifa wa biodiversity
- Mwaka wa...