Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Sina uhakika wa shehena hiyo kama safari hii itasaidia sana.
vyovyte iwavyo, siyo rahisi kujua clearing and forwarding companies zote za hapa Tanzania. Ninaamini kuwa CCM yenyewe ndo ya msimu baada ya 2010, wasubili 2015. Ugawaji utaanza lini? Tutakuwa tumepata madekio majumbani kwetu. Mimi siwezi kuweka mwilini mwangu picha ya JK. Aibu tupu....[/QUOTE]
Mkuu ni kweli isipokuwa ile inayo muonyesha akinyoosha mkono kusema wafayakazi sitaki kura zenu, hiyo nitaivaa!
Hivi hizo tshirt ziko wapi wakuu? jamani zimwageni kama njugu tutanunua na kuzivaa, siku zaenda
Habari za UHAKIKA 100% zilizonifikia hivi punde ni kuwa Shehena nzito ya FULANA, PICHA ZA MUUNGWANA ZA SIZE TOFAUTI, MAGARI, KHANGA, NK vinamaliziwa kufanyiwa clearance na kampuni ya Whind Freight Clearing and Fowarding. Clearance hiyo imeanza jana na bado MZIGO unaendelea kumimimnwa. Haijulikani gharama za kutengeneza mzigo huo mzito ni ya CCM au kuna vyanzo vingine vya mapato au wamekopa.
hakika yana mwisho haya , shafi Adam Shafii, Kuli.yana mwisho haya!!!
Mimi na wewe na wenzetu wengi humu JF tumedhamiria kuinyima CCM kura zetu. Ili kura zitoshe tunapaswa kufanya kazi ya ziada shekhe.Wacha wafanye watakavyo, mwaka huu ni kuwanyima kura, hiyo ndio dawa pekee.
Mimi na wewe na wenzetu wengi humu JF tumedhamiria kuinyima CCM kura zetu. Ili kura zitoshe tunapaswa kufanya kazi ya ziada shekhe.
Tutumie muda wetu kuhamasisha jamii iliyotuzunguka umuhimu wakuinyima ccm kura. ukielimisha watano wa familia tofauti umeelimisha watu mia.
Ili huo mwisho wa ccm ufike lazima tujitolee ktk this last last time to work very very hard
Habari za UHAKIKA 100% zilizonifikia hivi punde ni kuwa Shehena nzito ya FULANA, PICHA ZA MUUNGWANA ZA SIZE TOFAUTI, MAGARI, KHANGA, NK vinamaliziwa kufanyiwa clearance na kampuni ya Whind Freight Clearing and Fowarding. Clearance hiyo imeanza jana na bado MZIGO unaendelea kumimimnwa. Haijulikani gharama za kutengeneza mzigo huo mzito ni ya CCM au kuna vyanzo vingine vya mapato au wamekopa.