mudushi
Senior Member
- Oct 19, 2010
- 151
- 84
Yule Baali wa pale magomeni inasemekana anasakwa na baadhi ya Wagombea udiwani na Ubunge wa CCM kwa kuwatapeli. Inasemekana aliwaahidi kuwa wangeshinda na kama kuna hali mbaya basi angewarekebishia mambo. Lakini sivyo, hivyo wameamua kumsaka. Wamo Hawa na madiwani watatu wa Ubungo.