Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Mara zote shekhe Pond Issa Ponda hutoa ushauri kwa hekima kubwa sana ni bora serikali ikautumia.
Hata wakristo waliuwa watu wakieneza dini yao crusade
Majibu: ktk uislam kuua si vibaya kama unamtetea allah au mtume! kwaufupi hata mtume wao aliua sana ktk kueneza uislam, the same spirit is working up today!
lete vyanzo vya kuaminika sio propaganda eti mtume wao alieneza dini kwa upanga haya jeshi gani lilikwenda singapore,malaysia,india,indonesia na pwani ya africa mashariki nitajie bro...na uislamu hauungi mkono mauaji isipokuwa kama ni self defence kama mmevamiwa na ndo maana ukiua damu isiyo na atia katika Sharia nawe unauliwa mfano...egypt watu walilipua kanisa mkesha wa krissmas mawahukumiwa kifo...WENGI UISLAMU huwa hawaujui bahati mbaya na media zinau attack sana ndo maana mnachanganyikiwa!
kaka kwan ponda issa ponda si ni sheikh wa kutetea mali za waislamu, swali* kwani al-shabaab ni mali ya waislamu?
Penye ukweli uongo hujitenga.lete vyanzo vya kuaminika sio propaganda eti mtume wao alieneza dini kwa upanga haya jeshi gani lilikwenda singapore,malaysia,india,indonesia na pwani ya africa mashariki nitajie bro...na uislamu hauungi mkono mauaji isipokuwa kama ni self defence kama mmevamiwa na ndo maana ukiua damu isiyo na atia katika Sharia nawe unauliwa mfano...egypt watu walilipua kanisa mkesha wa krissmas mawahukumiwa kifo...WENGI UISLAMU huwa hawaujui bahati mbaya na media zinau attack sana ndo maana mnachanganyikiwa!
kachaguliwa na nani? Anaizungumzia(kuiwakilisha) taasisi yake... Na mali za waislam zipi? Tuanzie hapo..
Sheikh Ponda anaongea kama muwakilishi wa waislam, Je ni msimamo wa waislam wote wa Tanzania kuwa Nahodha afute kauli zake dhidi ya vitisho vya Al shabaab kwa sababu Al shabaab ni waislam??
Mhhh! Yaani ukistaajabu ya Musa utayaona ya Filauni! Hivi Shekhe Issa Ponda ni nani? Ana elimu gani? Ana mitazamo ya aina gani? Mara nyingi inanitatiza kuelewa nini huyu bwana anataka kupata kwa yale anayojaribu kuyapigia debeaisee.... sasa hapa anawatetea au anawasemea alshababu the killers?
Mkuu nakuunga mkono mia kwa mia,tatizo la wachangiaji wengine wanasoma juu juu na wanachangia kwa itikadi while ukiwa makini utajua nn kinakatazwa kwa serikali kutumia kivuli cha al shabab kwa maslah ya serikali na chama tawalaAlichoongea Sheikh Ponda kina maana kubwa sana kwa siasa za Tanzania. Serikali inawatumia Al Shabaab kama excuse ya kupitisha agenda zao za kuzuia maandamano. Serikali inawatumia Al shabaab kama njia ya kuminya uhuru wa watanzania kwa kuwatisha. Serikali inawatumia Al Shabaab kama njia ya kuua uchumi wetu kwa kutisha watalii na wawekezaji kuja Tanzania bila serikali kujua.
Kwa maana hiyo Serikali inaonekana itakuwa tayari kuwadhuru watanzania either kwa kulipua sehemu ili kuonesha kuwa wao walichokuwa wanasema kina ukweli.
Tunataka tishio la Al shabaab lisiwe wimbo wa kubembelezea mwana Tanzania. Watanzania ni watu wenye hulka ya utulivu na kutopenda misukosuko, matamko kama haya ya viongozi wetu yanawaandaa watanzania kuwa watu wa kujiandaa na vurugu na uvunjifu wa amani.
Al Shabaab wana agenda yao huko Somalia, kama ni wauaji au magaidi hiyo suala la atakayewaona. Hata Gaddafi aliwaita NTC Magaidi, Al Qaeda. ANC iliitwa chama cha kigaidi na mandela akaitwa Gaidi. Tusiwe matarumbeta ya propaganda. Kazi ya serikali ni kuhakikisha mipaka yetu ipo salama na watanzania wanaishi vile watakavyo wao bila kuwa influenced na tukio lolote la kutoka nje.
Ponda ameongea kitu ambacho ni wachache wanaweza kuongea, whether ana sympathise na Al Shabaab hiyo inatokana na jinsi anavyowaona yeye, kikubwa ni kwamba haoneshi nia wana hana nia ya kumzuru mtanzania yeyote yule.
lete vyanzo vya kuaminika sio propaganda eti mtume wao alieneza dini kwa upanga haya jeshi gani lilikwenda singapore,malaysia,india,indonesia na pwani ya africa mashariki nitajie bro...na uislamu hauungi mkono mauaji isipokuwa kama ni self defence kama mmevamiwa na ndo maana ukiua damu isiyo na atia katika Sharia nawe unauliwa mfano...egypt watu walilipua kanisa mkesha wa krissmas mawahukumiwa kifo...WENGI UISLAMU huwa hawaujui bahati mbaya na media zinau attack sana ndo maana mnachanganyikiwa!
hivi al shabaab ni kundi la kidini au kigaidi?
Kashengo kama unataka kuujua uislam ni kitu gani nenda hapa;www.faithfreedom.org
kachaguliwa na nani sijui,sitaki kujua na wala hainihusu na kuhusu mali zp anaztetea labda kama ni muislamu ungenijuza.. Ila hyo hko ndio cheo chake? Kwa nimjuavyo.