Huyu hana kitu kabisa...di mdo wa ku[pachikwa tu huyu hata Waislamu wote hawamtambui? Chadema wanafanya siasa, Uislamu umeingiaje hapo? Haya ngoja tuone kuelekea 2015, itakavyokuwa
Mwangalie tu mtu, kwanza yeye mwenyewe ndiye aliyekaa Kisharishari, amekata tamaa anaomba fadhila kwa C c m, huu ni mtaji wa ccm, hakuna cha ccm kilicho salama karne hii.