anti-fisadi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 368
- 31
Dini zisipotoshe watu,matatizo yetu watanzania yapo palepale! Yameongezeka kutokana na uongozi mbovu usio na focus kuleta maendeleo kwa wote.
Sielewi tunapoelekea,kama hio mahakama ya kadhi italeta maendeleo tutaiona; ila wafanyayo chadema ndio hayo hata bei ya sukari ikapunguzwa. Watanzania tuamue wenyewe, kusuka ama kunyoa!!
Sielewi tunapoelekea,kama hio mahakama ya kadhi italeta maendeleo tutaiona; ila wafanyayo chadema ndio hayo hata bei ya sukari ikapunguzwa. Watanzania tuamue wenyewe, kusuka ama kunyoa!!