Shehe afumaniwa akibaka mwanafunzi

Status
Not open for further replies.

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054

Tukio hilo la kusikitisha, limedaiwa kutokea hivi karibuni Chang'ombe Toroli ambapo sheikh huyo aliyekuwa akifundisha Madrasa ya Istiqama, amedaiwa kuwa na tabia ya kumwingilia kimwili binti ambaye alikuwa mwanafunzi wa hiyo madrasa, kwa muda mrefu sasa.

Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari ambacho tunakipa hifadhi ya jina lake, wakati sheikh huyo akiendeleza tabia hiyo chafu ya ufuksa, wazazi wa binti hawakuelewa chochote, hadi siku za hivi karibuni waliposikia kutoka kwa majirani kuwepo kwa mchezo mchafu wa kimapenzi kati ya sheikh huyo na binti yao.

Habari zaidi zinasema kuwa kufuatia hali hiyo, wazazi wa binti huyo walimbana binti yao, ambaye hatimaye alikiri kuingiliwa kimwili na sheikh huyo.

Hata hivyo, binti huyo aliwaeleza wazazi hao kuwa alikuwa akitishiwa na kiongozi huyo wa dini asitoe siri hiyo kwa mtu yeyote.

Waandishi wetu walifanikiwa kuongea na mama mzazi wa binti huyo (jina tunalihifadhi) ambaye alikiri mwanae kufanyiwa kitu mbaya na sheikh huyo.

Nilimwita binti yangu na kumbana aeleze ukweli ndipo akaniambia kuwa sheikh huyo mara kwa mara amekuwa akimchezea matiti, kumtomasatomasa, na kumwingilia kimwili, na muda wa kutoka madrasa unapofika humwambia awe wa mwisho ili wafanye mchezo huo hapohapo msikitini, alisema mama huyo.

Mzazi huyo aliendelea kuwaeleza waandishi wetu kuwa, waliitisha kikao na viongozi wa Msikiti wa Toroli, walimu wa madrasa yote ya Toroli pamoja na wazee wa kiislamu na kujadili juu ya suala hilo, ambapo iliamriwa chuo hicho kifungwe hadi hapo itakapoamriwa vinginevyo.

Wakati sakata hilo likipamba moto, mshtumiwa alifanikiwa kutoroka kwa kuogopa kukamatwa.

Kwa mujibu wa mtoa habari wetu, wazazi walimpeleka binti yao Hospitali ya Temeke kwa vipimo mbalimbali, daktari aliyempima alisema kuwa ni kweli binti huyo huwa anaingiliwa kimwili, lakini hakukuwepo mbegu za kiume zilizopatikana kwenye vipimo.

Wazazi wa binti huyo waliamua kwenda Kituo Kidogo cha Polisi Keko na kumfungulia kesi yenye jalada namba KPP\ RB\2269\2008, lakini kutokana na uzito wa kesi yenyewe, ilihamishiwa Kituo kikubwa cha Chang?ombe na kufunguliwa jalada lingine lenye namba CHA\RB\7796\2008.

Waandishi wetu walifanikiwa kuongea na mmoja wa viongozi wa msikiti wa Toroli ambaye alikiri kufungwa kwa muda kwa madrasa ya Istiqama kutokana na madai ya sheikh huyo kumuingilia kimwili mwanafunzi wake. Hadi hivi sasa uchunguzi bado unaendelea na sheikh huyo anatafutwa na polisi kujibu tuhuma hizo.

Nimeikama Global Publishers
 

Inaoneka huu ndio mchezo wa mashehe na maustaadh wote. Kazi yao ni kuwafanya/bikiri vibaya watoto wa watu tena msikitini. lol. Sina hamu na hii dini ya wamanga.
 
SCHMIDT = Doedoe = Muse A Muse = Genesis = Mtu mmoja mwenye kujisajili kwa majina tofauti
 

Inaonekana huyu shehe alikuwa anatimiza mila.

Sahih Bukhari Volume 7, Book 62, Number 64
Narrated 'Aisha:
that the Prophet married her when she was six years old and he consummated his marriage when she was nine years old, and then she remained with him for nine years (i.e., till his death).

Jamaa alikuwa anambaka Aisha.

Kaazi kweli kweli waislam.
 
Ni tukio la kusikitisha. Sidhani kwamba Mashekh wote wanafanya unyama wa namna hiyo. Hata hivyo, hili ni tukio linalotakiwa kulaaniwa kwa nguvu zote bila kujali limetendwa na nani. Kinachosikitisha ni kuwa limetendwa na mtu ambaye kwa kadri ya kazi yake jamii inamwamini sana. Huu ni ujumbe mwingine kwa wazazi kwamba wanatakiwa kuwa macho na watoto wao na wasimwamini mtu yeyote.
 

Inaonekana huyu shehe alikuwa anatimiza mila.

Sahih Bukhari Volume 7, Book 62, Number 64
Narrated 'Aisha:
that the Prophet married her when she was six years old and he consummated his marriage when she was nine years old, and then she remained with him for nine years (i.e., till his death).

Jamaa alikuwa anambaka Aisha.

Kaazi kweli kweli waislam.

Bro unavuka mipaka,sijui kama unajua sheria za dini ya Kiislamu au ndio unajivutia wakati unaishi kwenye nyumba ya vioo.
halafu ikiwa nitaamuwa kuweka habari hapa,ufahamu kuwa wakiristo wenzako ambao wanakuona umesema sahihi hawatakuwa na pakukaa na zaidi mtauwana wenyewe kwa wenyewe,hivyo kama unamtzamo wa kuona kuwa dini yako ipo sahihi basi fikiria marambilimbili,sijui kama unafahamu kuwa watu au wenzako huko ulaya hao waliohifadhi bible wapo kwenye kikao wakitaka kuondoa lile tamko la Yesu ni Mungu,sijui kama unaelewa kuwa katika Bible Mungu haonekani lakini Yesu alionekana alikula na kwenda chooni,weka mbali matendo ya kibaradhuli yaliomo ambayo yanamhusu Yesu,weka kando nyimbo za uchi ambazo zimo ndani ya kanisa,sijui unanifahamu na hayo hayakuwandikwa na Waislamu bali yamepekuliwa humo humo ndani ya Bible na kuonekana yanaleta udhia ,fahamu kuwa hakuna web inayo au iliyotungwa kwa ajili ya kutukana wakiristo ila watu wenye msimamo kama wako zipo tele,hakuna web ya kiislamu iliyotunga bible na kuibadilisha na kuiweka kwenye mtandao lakini wapo wenye msimamo kama wako ambao wameibadilisha Qurani na kuiweka kwenye mtandao ,hivyo nakwambia kuwa usiishi kwenye nyumba ya vioo na kurushia mawe walioko nje.na wapo waliovuana nguo makanisani hapahapa Tz mchungaji akidai sikio la tatu lipate kusikia ,au sio wampe yesu pendo afu apo mchungaji ndo anakuwa Yesu ,kataa basi kama sivyo yanavyokwenda kwenye misa !! ,yaani yanaweza yasiihie hapa kabisa ,
 
Last edited:

Inaoneka huu ndio mchezo wa mashehe na maustaadh wote. Kazi yao ni kuwafanya/bikiri vibaya watoto wa watu tena msikitini. lol. Sina hamu na hii dini ya wamanga.
..Na yule mchungaji aliyeshitakiwa kwa kukalawiti kavulana maeneo ya ubungo inakuwaje?
 

Inaoneka huu ndio mchezo wa mashehe na maustaadh wote. Kazi yao ni kuwafanya/bikiri vibaya watoto wa watu tena msikitini. lol. Sina hamu na hii dini ya wamanga.


Uchafu kama huu ni suala la mtu husika na wala si suala la kulaumu ama kukejeli dini. Mimi ni mkristo na ningependa kukumbusha kwamba kuna mapdri na wachungaji wanabaka watoto na kibaya zaidi kuna wachungaji *******. Huwezi kusema kwamba huo ndiyo ukristo kwani Bible inakataza uchafu huo bali hayo ni masuala binafsi ya watu husika. Jaribu kujua kwamba unaishi na jamii zenye imani katika dini mbalimbali si vyema wala busara kukejeli dini ya mtu mwingine. Huo ni ushauri wa bure nakupa. Ubarikiwe sana.
 
Angekuwa katika nchi ya Kiislamu hukumu yake ni kifo.Angekuwa katika nchi ya Kikristu angetendewa kama wale wakuu wengine wa dini hiyo walivyofanyiwa.Bahati yake yuko katika nchi hii.
 

Inaonekana huyu shehe alikuwa anatimiza mila.

Sahih Bukhari Volume 7, Book 62, Number 64
Narrated 'Aisha:
that the Prophet married her when she was six years old and he consummated his marriage when she was nine years old, and then she remained with him for nine years (i.e., till his death).

Jamaa alikuwa anambaka Aisha.

Kaazi kweli kweli waislam.

Alikuwa anapata sunna si unajua tena hawa wenzetu!!
 
nani asiyewajua hawa jamaa, wamevaa vazi la kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu, kanzu nyeupee kumbe ndani nyeusiii.
 

Huu ni ugonjwa unaoitwa Pedo-Mohammadalia ambao ni pedophelic blessings from Marehemu Mtume Mohammad.

Islams are bound in this herritage which encumbarances most of their clargies.

It is shame and sad to follow this mohammadic religion.
 
Hapahapa Tz mchungaji aliwambia mabinti wavue nguo na wabaki kama walivyosaliwa akidai sikio la tatu lipate kusikia ufalme wa mbinguni,au sio wampe yesu pendo afu apo mchungaji ndo anakuwa Yesu ,kataeni basi kama sivyo yanavyokwenda kwenye misa !! ,yaani yanaweza yasiihie hapa kabisa.Endeleeni tu.
 
Last edited:
Atafutwe aulizwe kwa nini alikuwa akifanya hivyo, isije kuwa ngono ni moja ya masomo ya madrasa.
 
Atafutwe aulizwe kwa nini alikuwa akifanya hivyo, isije kuwa ngono ni moja ya masomo ya madrasa.
Labda yule hanisi aliemkumbatia yesu akauliza nini hiki ,yesu akamjibu mkate ,eti shetani akavamia ,yesu akamwambia jamaa fanya harakaharaka,waliokuwepo hawakujua kinachoendelea maana lugha iliyokuwepo ilikuwa ubabaishaji mtupu ili watu wasijue.
 
Moderator tunaomba uifunge hii thread!

Au ipelekwe kuna Dini

Shukrani!

Kweli kabisa mkulu,iondolewe hii maana tunakoelekea siko kabisa,kama Sheikh kafumaniwa akibaka basi na tuiache sheria ichukue mkondo wake jamani...Haya mambo ya ooh sijui waislamu wanafanya hivi mara wakristu wanafanya vile hayatatufikisha popote zaidi ya kujenga chuki(kupanda mbegu mbaya) ya udini(ambayo matunda yake ni mabaya mno)....Kwa vile kila mtu ana imani yake basi na aifuate...Tuachane na haya mambo ya oooh sijui Yesu alifanya hivi mara ooh Mohammed alifanya vile...Tubadilike jamani....Be blessed
 
Moderator tunaomba uifunge hii thread!

Au ipelekwe kuna Dini

Shukrani!

Hawa jamaa wapo kwenye thread nyingi tu na tabu yake hawajui kuzungumza au kuchangia hoja,ila wanashirikisha watu wote hivi wakiristo hawakamatwi wakibaka mbuzi huko mikoani mbona waisilamu hatume ndivyo wanavyo fundishwa makanisani ?
Sasa ikiwa wao ni mahodari wa kutoa maelezo kutoka wanakokujua wao juu ya waislamu nawahakikishia nami nitatoa maelezo ninakojua mimi mpaka yule hanisi aliovaa nguo ya hariri akaingia na yesu pangoni eti kaenda kufundishwa ufalme wa mbinguni ,wajue kuwa yapo mengi bado kuna nyimbo za solomoni.

Na sababu ya yote ni kuwa we are dealing with skeptics or pagans hapa, after all, who simply read the Islam in English on their own terms and do not even bother to try to understand it in terms that those who wrote it would.
 
Mods kwa ushauri tuiondoe hii thread jamani,tunakoelekea si kuzuri hata kidogo..Pliiiiiiiiiiiiiiiiz
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom