SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
Kutoa mimba ni kosa la jinai kwa sheria za Tanzania..na hata atakayesaidia kutoa anakuwa answerable pia.
Ila kwa case yako inaonekana mwanamke wako ana tatizo jengine linamsumbua..aidha hajaku'feel' kiasi cha kuzaa na wewe ama haamini kama mimba ni yako. Cha kufanya before hujaenda kisheria zaidi mfanyie counselling na anaweza kubadili uamuzi. Ikishindikana unaweza kuproceed with legal action!!
Ila kwa case yako inaonekana mwanamke wako ana tatizo jengine linamsumbua..aidha hajaku'feel' kiasi cha kuzaa na wewe ama haamini kama mimba ni yako. Cha kufanya before hujaenda kisheria zaidi mfanyie counselling na anaweza kubadili uamuzi. Ikishindikana unaweza kuproceed with legal action!!