ani pm kuna mtu anataka nisaidiane nae kusukuma gurudumu la maendeleo na mimi sitaki
huu ushauri ni kiboko lazima nimfikishie leoleo..................kama nimekuelewa vizuri ni kuwa sasa ilale usingizi wa pono.....angalau kwa miaka 3 khalafu mambo yaanze
Amyner kweli una jicho la mwewe......you have hit the right notes...........lakini mbona humshauri m,wenzio afanyaje hapo?
hello,anatakiwa aleze sifa za mwanme anaye mtaka,tujajua jinsi gani ya kumsaidia.......
Sijui hata nimshauri nini kwa kweli, labda nitoe tu reference jibu la ADi..
Ruta kulala usingizi wa pono najua ni ngumu ila ajitahidi kupunguza bana maana atakuja kuishia kuwa single kwa muda mrefu sana asipoangalia
Smile umekuaje ? Kupishana na bahati ?
Sasa kama wadada hamtaki kuolewa tuwafikirieje ?
Na huku kila mara nawasikiaga baadhi ya members wanamuomba Halima Mdee ajiunge Jf, bora hata asijiunge , akiingia humu atatuharibia wadada wengi watakataa kuolewa .
Namhitaji huyo huyo
I'm speechless!!
Weka picha yake kwanza, tusije tukajikuta tunaingia mzimuni.
Anapatikana wapi ?
Anafanya nini?
Jina lake nani?
Je ni bikra au alishachakachua?
Je alishaumizwa mara ngapi kama sio bikra ?
Anataka mtu wa aina gani ?
Mtu huyo awe anaishi wapi ?
Ani PM mi mwenyewe natafuta mtu wa kike wa design yake
changamoto yangu ni kumwezesha kumpata mtu kama Kongosho...................hapa JF.......................mie mchovu sina uwezo kupambana na hii damu changa.................kasheshe zao siziwezi................wasije kuniletea kifaduro cha usubuhi usubuhi.....lol
unashauri achukue likizo ya muda gani?
Mkuu nafikiri kuna time ya kusema enough is enough na ngoja niache hiki au kile
Afikie mahali aseme kuwa tabbia ya kutongozwa na mwanaume siku moja na kumkubalia na siku hiyo hiyo anamaliza kila kitu ife
Ni kuacha mazoea yake maana inaonekana ni tabia yake na ishakuwa sugu
Aachane nayo kaka