housegirl
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 3,125
- 2,189
Apaone Rutashubanyuma na mwengesoI believe some people are just sadists by nature.
.
Ukiwaambia ndoa nyingine hazitengenezeki hawaelewi.
Sahivi ni kuwaacha tu wakafie mbele. Ukisema utasali abadilike, atabadilika uzeeniii, akishajichokea.
Sometimes nafikiriaga kutengeneza zali ili mama apigwe tupate kesi waachane. Basi tu mtu mwenyewe ashazeeka unamuonea na huruma.