Je lugha ya usiku mnaelewana?
Hapo ndo pa maana kwingine huku urembo tu.
Je lugha ya usiku mnaelewana?
Hapo ndo pa maana kwingine huku urembo tu.
Ha ha ha ha ha, mi naona anajali kitu ambacho si cha msingi sana.
Kongosho labda mwenyewe anamtayarisha awe mkewe, hasa siku akimpeleka kwa wazazi afu analeta nyodo hizo au akiwa anabadilisha meseji na mama mkwe unafikiri itakuwaje
watu wannaoa bubu sembuse sista du wa kujitakia?
Ingekuwa mwanamme ndo hajui kuwasiliana hapo labda ingekuwa tabu lakini binti lol
Akiandika "i mc u" huelewi nini ss apo?