niwaellyester1
Senior Member
- Sep 7, 2010
- 123
- 19
sharobaro mmoja alikufa kizembe huko gongo la mboto , wakati mabomu yanalipuka aliambiwa lala chini, "nitachafuka men" mtu wa pili akamwambia panda lori tuondoke , "nasubiri tax men" mtu wa tatu akamwambia zima cm utapigwa na shoti , "naongea na baby men" ,sekunde c nyingi bomu likalipuka pale pale alipo , bac hata kifungo cha shati hakikuonekana , ....masikini sharobaro amekufa kizembe sana....