Sharobaro maana yake nini?

Anko Sam

JF-Expert Member
Jun 30, 2010
3,200
820
Wana JF, kuna kiswahili kimeingia kipya sifahamu maana yake kwa hakika. Kwenye majarida mbalimbali kila mwandishi analitumia kivyake nimeshindwa kupata maana halisi ya neno: Sharobaro!
 
Hii kitu ilishawahi kuelezwa hapa hapa JF

Sharobaro: Binti, Msichana, Mwamamwari, Kigori.

Na kinyume chake ni:

Barobaro: Mvulana, Kijana wa kiume, shababi.
 
Hii kitu ilishawahi kuelezwa hapa hapa JF

Sharobaro: Binti, Msichana, Mwamamwari, Kigori.

Na kinyume chake ni:

Barobaro: Mvulana, Kijana wa kiume, shababi.

Hivyo wanaojiita masharobaro maana yake tabia zao ni kama za mabinti? au labda mashoga?
 
Hivyo wanaojiita masharobaro maana yake tabia zao ni kama za mabinti? au labda mashoga?
Labda wamependezwa na ilo jina.

Ni sawasawa leo hii, ukimwita Mtu mke (Mwanamke) kwa jina la Dame, ataona kama umemzarau, wakati ili neno ni cheo (title), sawa na 'Sir'.
 
Wanaume shombe shombe wenyekupenda kujilemba sn kama mabinti tunaweza tukawaita mashoga japokuwa wanaekeiti.
 
ni mwanamme anaetaman kuwa mwanamke (kigori) na huwa mwisho wao huishia kuwa mashoga!!!


" ANYONE WHO VOLUNTEER FOR POLITICS SHOULD CONSIDER OTHERS FIRST
"
 
Back
Top Bottom