Sharobaro kijijini

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Sharobaro mmoja alitembelea kijiji kimoja mkoani sumbawanga.Alipokuwa huko aliamua kuvinjari mitaa mbali mbali kijijini hapo.Cha ajabu kila mwanakijiji aliyekutana naye,alimwangalia kwa mshangao huku akisikitika na kisha kuendelea na safari yake.Sharobaro akaamua kumuuliza bibi mmoja;Hey grandma,inakuwaje mi nakatiza mitaa,nimepiga jeans,t-shirt,raba kali na madini yangu shingoni lakini watu wananiangalia halafu wanasikitika,au ndo wananionea wivu? (Bibi akajibu);Mjukuu wangu,hiki kijiji kila mtu ni mchawi,watu wote wanavaa hirizi kujizuia wasionekane uchi,wewe badala ya kuvaa hirizi umevaa cheni na ndo maana kila mtu anakuona uko uchi wa mnyama mpaka wanakusikitikia!
 
Sharobaro mmoja alitembelea kijiji kimoja mkoani sumbawanga.Alipokuwa huko aliamua kuvinjari mitaa mbali mbali kijijini hapo.Cha ajabu kila mwanakijiji aliyekutana naye,alimwangalia kwa mshangao huku akisikitika na kisha kuendelea na safari yake.Sharobaro akaamua kumuuliza bibi mmoja;Hey grandma,inakuwaje mi nakatiza mitaa,nimepiga jeans,t-shirt,raba kali na madini yangu shingoni lakini watu wananiangalia halafu wanasikitika,au ndo wananionea wivu? (Bibi akajibu);Mjukuu wangu,hiki kijiji kila mtu ni mchawi,watu wote wanavaa hirizi kujizuia wasionekane uchi,wewe badala ya kuvaa hirizi umevaa cheni na ndo maana kila mtu anakuona uko uchi wa mnyama mpaka wanakusikitikia!
kumbe kuna mkoa unaitwa sumbawanga mkuu?
 
Sumbawanga ni noma kuna jamaa alienda kutoka DSM akaingia kilabuni na ndugu yake wakawa wanakunywa pombe. Yule mgeni ikawa kila dakika anaenda kujisaidia chooni mpk akachoka akipiga funda moja tu la pombe anaenda kukojoa.

Baada ya muda mwenyeji wake akawafuata wataalam kuuliza kulikoni mgeni wake anakojoa hovyo akaambiwa pale kijijini kama mtu katoka mjini inabidi awanunulie watu pombe sasa kwa kuwa alikuwa hajafanya hivyo wataalam pale kilabuni walikuwa wanamtupia mkojo wao kwa njia za kienyeji anaenda kukojoa badala yao. Jamaa baadae akawanunulia pombe kilabu kizima ndio mkojo ukakata
 
Sumbawanga ni noma kuna jamaa alienda kutoka DSM akaingia kilabuni na ndugu yake wakawa wanakunywa pombe. Yule mgeni ikawa kila dakika anaenda kujisaidia chooni mpk akachoka akipiga funda moja tu la pombe anaenda kukojoa. Baada ya muda mwenyeji wake akawafuata wataalam kuuliza kulikoni mgeni wake anakojoa hovyo akaambiwa pale kijijini kama mtu katoka mjini inabidi awanunulie watu pombe sasa kwa kuwa alikuwa hajafanya hivyo wataalam pale kilabuni walikuwa wanamtupia mkojo wao kwa njia za kienyeji anaenda kukojoa badala yao. Jamaa baadae akawanunulia pombe kilabu kizima ndio mkojo ukakata
Ahahaaaah!
 
Sharobaro mmoja alitembelea kijiji kimoja mkoani sumbawanga.Alipokuwa huko aliamua kuvinjari mitaa mbali mbali kijijini hapo.Cha ajabu kila mwanakijiji aliyekutana naye,alimwangalia kwa mshangao huku akisikitika na kisha kuendelea na safari yake.Sharobaro akaamua kumuuliza bibi mmoja;Hey grandma,inakuwaje mi nakatiza mitaa,nimepiga jeans,t-shirt,raba kali na madini yangu shingoni lakini watu wananiangalia halafu wanasikitika,au ndo wananionea wivu? (Bibi akajibu);Mjukuu wangu,hiki kijiji kila mtu ni mchawi,watu wote wanavaa hirizi kujizuia wasionekane uchi,wewe badala ya kuvaa hirizi umevaa cheni na ndo maana kila mtu anakuona uko uchi wa mnyama mpaka wanakusikitikia!
Ahahahahaaah!!! Nyie watu mnaongea vitu ambavyo havipo, huku ni amani tu!
 
Yaani huko kuwa mchawi ni moja ya mahitaji muhimu ya binadamu kabla ya malazi, mavazi na chakula. Usipokuwa mchawi unaitwa masikini. . . .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom