Sharo jipangeni meeeeen!!!!

masaii mmoja alikua anauza dawa zao zile za kienyeji kaenda hotelini kuuza kakuta padri na masista wamekaa meza moja wanakula masaii kafika kawasalimu habari wakamjibu salama,masai hiko uza dawa ya kuongeza nguvu ukitumia hii mzee nakua vizuri nakutana na mama toto mambo nakua safi kabisa,padri na masista wakabaki wamepigwa bumbuwazi wasijue cha kujibu
 
Back
Top Bottom