Ernie JF-Expert Member Aug 3, 2010 217 23 Mar 14, 2011 #1 Sharobaro anaumwa tumbo la kuharisha, kufika kwa dokta anaambiwa aelezee shida yake, akaanza "Unajua meen naumwa meen" Dokta; Unaumwa nini? Sharo B: Meen naumwa tumbo alafu nakunya Haraka haraka meen. (Kuharisha) Dokta; aah, unahara wewe.
Sharobaro anaumwa tumbo la kuharisha, kufika kwa dokta anaambiwa aelezee shida yake, akaanza "Unajua meen naumwa meen" Dokta; Unaumwa nini? Sharo B: Meen naumwa tumbo alafu nakunya Haraka haraka meen. (Kuharisha) Dokta; aah, unahara wewe.
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Mar 14, 2011 #2 hahahahah!!! Masharobaro miyeyusho kweli. Hahha
Lady N JF-Expert Member Nov 1, 2009 1,914 131 Mar 15, 2011 #4 hahahaaaaaaaaaa! eti nakunya harak haraka!
Slave JF-Expert Member Dec 6, 2010 5,314 2,635 Mar 15, 2011 #6 Yoo man ninadanchi faster nazani menu ya jana ndo chanzo man