Share with us....

It was one Great date... (ila niharakishe kusema hatukuenda third base....lol... If you know what I mean):eyebrows:

..............story haijaisha hapo bado.... Ndo kwanza tunakaa vizuri
 
He didnt turn out, nikasubiri weee
Hadi make up ikwapwaya

Na hii niite date au month?

Kiongozi ! Sijakurupuka ni kwa idhini yako mwenyewe! Nilipokwambia "mi nishaamka" niendelee kutia domo pamba ? Ukaniambia mwaga! kadamnasi.
Rejea sintofahamu inayoendeleaga hapa Jf about "Kongosho gender" nakiri umefanikiwa kuu'maintain UTATA huu kua sustainable.
Pamoja na kua kuna time una'comment kama She then sometimes kama He, but mimi kama mimi nilishafanikiwa ku'reveal your real gender kitambo.
Your comment shown above inatosha kutoa picha halisi ya kuondoa utata husika. Natanguliza a certain apology ikiwa nimekukwaza, hata hivyo nina shelter ya kibali ulichonipa.
 
HA ha ha ha. ya ngoswe mwachie mzee ngengemkeni mitomingi

Sijui kikopi na kupaste quotes from other sreds
Ningekuwekea kitu hapa ukaona

Sredi ya Mtambuzi 'watamu kuliko mama yao' page one
Inakueleza nini?

Kiongozi ! Sijakurupuka ni kwa idhini yako mwenyewe! Nilipokwambia "mi nishaamka" niendelee kutia domo pamba ? Ukaniambia mwaga! kadamnasi.
Rejea sintofahamu inayoendeleaga hapa Jf about "Kongosho gender" nakiri umefanikiwa kuu'maintain UTATA huu kua sustainable.
Pamoja na kua kuna time una'comment kama She then sometimes kama He, but mimi kama mimi nilishafanikiwa ku'reveal your real gender kitambo.
Your comment shown above inatosha kutoa picha halisi ya kuondoa utata husika. Natanguliza a certain apology ikiwa nimekukwaza, hata hivyo nina shelter ya kibali ulichonipa.
 
Dear jf members, Have you ever had a date with a stranger (blind date)? that feeling of excitement, nervous and anxiety! lets share your experience.. How did it turn out? Was it what you expected or a big disapointment?

Before JF that was very rare, but now with PM facilitation wengi sana wanaenda hizo makitu
 
HA ha ha ha. ya ngoswe mwachie mzee ngengemkeni mitomingi

Sijui kikopi na kupaste quotes from other sreds
Ningekuwekea kitu hapa ukaona

Sredi ya Mtambuzi 'watamu kuliko mama yao' page one
Inakueleza nini?

Hiyo tiledi ya Mtambuzi "wa'sweet kuliko mama zao" nshaipitia na kui'comment! Ya Ngoswe left to ... Kaisari ni kweli alafu hawa jamaa Ngoswe na Kaisari sio ndugu hawa ?
 
Blind date i think......*Take of the sunglasses*.........Mother of God......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom