View attachment 49735
Haya mie ndio hivyo
Your line speed:
408000 Kbps
50000 K bytes/sec
- - - - - - T-2 2Mbps - - - - - - 1.5Mbps - - - T-1 - - - 1Mbps - - - - - - 500Kbps - - - - - - 200Kbps - - - - - - 100Kbps - - - ISDN 60Kbps - - - ISDN64 40Kbps - - - 56K 20Kbps - - -
This is TTCL 8mb bandwith mkuu
This is TTCL 8mb bandwith mkuu
wanauza kiasi gani hii!! mi kuna kifaa nataka nije nacho bongo nimuwekee bimkubwa home but kinahitaji speed ya 2M au zaidi...
wanauza kiasi gani hii!! mi kuna kifaa nataka nije nacho bongo nimuwekee bimkubwa home but kinahitaji speed ya 2M au zaidi...
My line speed:
248.8 Kbps
30.5 K bytes/sec
nipo mazimbu morogoro natumia airtel
TTCL wako expensive sana mfano mie nanunua 20GB kwa laki mbili mkuu ila unaweza kupata 4GB kwa elfu 60 pia au unlimited kwa elfu 30 ambayo speed ina discourage sana mkuu.
Anakaa eneo gan? Kama yupo dar labda utafute isp wanaotoa cable internet maana hii mitandao haiaminiki mara speed imepanda mara imeshuka
sasa unanishauri vipi mkuu provider gani wazuri na bei sio kali vilee mi nahitaji speed ya 2M ikizidi sio mbaya ila sio chini ya hapo
Upanga Dar ... nipe mfano ISP gani nijaribu kuwatafuta
hio ni kwa ajili ya browser ya simu tu ten zisizosuport java script nyie munai overdose na pc zenu.
Kwa pc speedtest.net
wadau kama hamtajali unaweza post eneo ulipo mtandao na speed unayopata ili kuwezesha watu kujua speed za mitandao mbali mbali sehemu tofauti.
Hii itasaidia mtu akitaka kuunga bundle ajue ipi ni best choice kwa eneo lake. Tumia link hio apo chini kujua speed yako.
cheki speed hapa