Shangingi liliorudishwa hili hapa...
Klik kwenye Image...
Bora amerudisha gari letu. Hakustahili kupewa, nadhani ametambua hilo.
Maandiko yanasema: huwezi kuchukua chakula cha watoto na kuwapa mbwa.
Sasa wamefunuliwa!Kwa nini waliyapokea hapo kabla?
Kwa nini waliyapokea hapo kabla?
Bora amerudisha gari letu. Hakustahili kupewa, nadhani ametambua hilo.
Maandiko yanasema: huwezi kuchukua chakula cha watoto na kuwapa mbwa.
Wewe usitumie hiyo roho ya Kifisadi ku-abuse NENO la Mungu.Hivi hapa nani watoto kati ya CC-Magamba na CHADEMA?.
Izoeshe mind yako kuwa na time shift concept. We are talking about today not yesterday.Kwa nini waliyapokea hapo kabla?
Nifafanulie mkuu,nani ni mfuga mbwa?