Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
- Thread starter
- #41
Ananiamin ktk ushauri, nadhan anamaamuzi yake bt anatemea ushauri kujustify maamuz yake!Yaani huyu ni Afisa Utumushi wa wapi anashindwa kuamua jambo kama hilo ambalo maamuzi yake yako wazi?mfano akiletewa kesi kuna mfanyakazi hapo ofisini kwake anatembea na mke wa mfanyakazi mwenzake ataenda kumuuliza nani? Ina maana hajui moyo wake unachokipenda? Huyo uamuzi anao mwenyewe na sio wewe umshauri aoe yupi katika hao wawili