Kwani Mzee Keenja amefulia tayari? Hatagombea?
Kwani Mzee Keenja amefulia tayari? Hatagombea?
Ndiyo, Umepatia
Kama unakumbuka vizuri hata 2005 ni miongoni mwa Wabunge ambao JK alikuwa amegoma kuwavusha kitanzi shingoni. Na hata alipokubali kuwanadi walizomewa jukwaani mbele ya JK.
Keenja ni miongoni mwa wabunge wengi wa CCM walioshindwa vibaya 2005 katika majimbo ya Dar, Msimamizi wa uchaguzi "mkurenzi wa municipal ya Kinondoni" Edgar Berege sijui kama bado anashikilia nafasi hii, ilibidi atumie mbinu zao za kupika matokeo ya kura, kumtangaza mshindi.
Sisi hapa tupige kelele tu, lakini bila kuwa na Tume huru ya uchaguzi CCM itaendelea kupanga matokeo ya kura kwa kadiri wanavyoona inafaa. Hutu tuviti wanatowaachia wapinzani ni janja ya kuwaonesha wahisani kuwa Tanzania kuna demokrasia.
- Keenja ameamua kutogombea tena baada ya kufulia na kukamulia jimbo, kwa hiyo hapo Ubungo kwa dataz nilizonazo tutegemee wana-JF wawili kujitosa, Mnyika anataka kuendelea na shule lakini kuna wanaomshinikiza kujitosa, atakumbana na another JF,
- Mwagunga, angetafuta pengine, hapa ni moto wa kuotea mbali, maana nimekuwa nikishiriki mwenyewe kwenye kampeni za one on one na prominent wa jimbo hili, katika kujaribu kumsaidia a JF member unajua hili jimbo ni exceptional maana lina wasomi wengi sana, huenda hata kuliko majimbo yote nchini.
My prayers ni wana-JF, kukutana uso kwa uso hapa, patakuwa patamu sana hasa hoja za masilahi ya taifa letu.
Respect.
FMEs!
Omutwale,waitu Shumalamu! La Nnape kugombea Ubungo hilo ni wazi siku nyingi linajulikana,Shamsa naona jimbo la Kongwa kaliona maji marefu maana Ndugai balaa na siasa bila shaka kanogewa nazo hivyo anahitaji jimbo,Mnyika ni wazi kwa umri wake atakuwa na ambitions kibao na ninasikia bongo yake inachemka(nasikia o-level alipata A kumi) na kwenye siasa ukiwa na bongo kali ni advantage because you think fast,diwani wa ubungo aitwaye Mringo naye anataka kujitosa kilingeni and indeed watch this guy kwa sababu amekuwa kwenye siasa za wilaya ya kinondoni muda mrefu na anamjua kila mtu,literally.Tusubiri si ajabu na wengine wakaja maana kabla Asha Migiro hajaenda UN ilisemekana naye alikuwa anajiandaa kupandisha bendera Ubungo,kunani Ubungo??????Mkulu nikupe mji?!
Aghaaaa ebu niropoke; Mnauye
Yo Yo V/s FMES mkuu lazima upate kura 1 yako tu...My prayers ni wana-JF, kukutana uso kwa uso hapa, patakuwa patamu sana hasa hoja za masilahi ya taifa letu.
Respect.
FMEs!
nani tena huyo alionyshwa kwente tv, maana hapa tumeshatajiwa wagombea wengiYes jana alionyeshwa ITV anaongea na mashekhe na watu wengine namnukuu: "mimi ni ndugu yenu nataka kugombea jimbo la ubungo,inshallah mwenyezi Mungu akijalia tutakuwa pamoja"
Kwani Mzee Keenja amefulia tayari? Hatagombea?