kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Nafikiri wewe sio miongoni mwa Watanzania wanaoishi chini ya Dola 1, ndani ya CCM viwanda vingi vimekufa mfn viwanda vya nguo ambavyo zamani viliongeza wigo wa ajira kwa wakulima na vijana pia katika nchi hii tujiulize hao vijana hizo bangi na madawa ya kulevya nani anayeuza? je hakuna viongozi ndani ya CCM wanaohusika na biashara hizo? kama ni ndiyo sio kweli CCM inachangia umasikini nchi hii!CCM aiwezi kuwa chanzo cha umaskini hapa Tanzani sababu Vijana wengi wa Tanzania awapendi kufanya kazi,wengi uishia kuvuta bangi na kukaa kwenye vijiwe.kwa hiyo wewe unategemea CDM hiki chukua madaraka itafanya kuwagawia pesa,watu wanaoshinda vijiweni ili kuinua Hali nzuri za Wananchi.Mkuu kuwa great thinker acha ukilaza.