Shamra shamra za mkutano wa CCM zimeanza

Status
Not open for further replies.
wameanza kuogopa ndo mana wanahamasisha mpaka ITV wamepewa tenda ya kutangaza, hapo malor hayajabeba watu, lengo lao cjui ni nin au kisa CDM walijaza nao wanataka wajaze
 
CCM aiwezi kuwa chanzo cha umaskini hapa Tanzani sababu Vijana wengi wa Tanzania awapendi kufanya kazi,wengi uishia kuvuta bangi na kukaa kwenye vijiwe.kwa hiyo wewe unategemea CDM hiki chukua madaraka itafanya kuwagawia pesa,watu wanaoshinda vijiweni ili kuinua Hali nzuri za Wananchi.Mkuu kuwa great thinker acha ukilaza.

kwenye red. hiyo kazi ambayo vijana hawataki kufanya iko wapi?
kwenye blue: una bahati FF yupo kifungo cha maisha!
 
CCM aiwezi kuwa chanzo cha umaskini hapa Tanzani sababu Vijana wengi wa Tanzania awapendi kufanya kazi,wengi uishia kuvuta bangi na kukaa kwenye vijiwe.kwa hiyo wewe unategemea CDM hiki chukua madaraka itafanya kuwagawia pesa,watu wanaoshinda vijiweni ili kuinua Hali nzuri za Wananchi.Mkuu kuwa great thinker acha ukilaza.


kulijua tatizo ni half way kuelekea kulitatua, sasa wewe na wenzako wa serikali ya CCM mmefanya nini kuwasaidia au kuwajenga!,? Hakuna zaidi ya kulaumu na kukalamika tu.

Unajua kwanini wanakaa vijiweni!? Unajua kwanini wanavuta bangi!? Kwanini hawana kazi? Kwaninh hawajajiendeleza kishule?
Umewah kuwauliza hayo maswali!? Jibu obviously ni HAPANA sababu wewe na serikali yako ya CCM mnawatenga na kuwaona maOUTCASTS wakati huo huo mnakuka misaada yao.

Siku moja jaribuni kuwapa stahili zao zote bila urasimu na uonevu ma aina yoyote muone watakachofanya.
 
Hawa ndugu zetu CCM kuwachukua Dr. Mwakyembe na Dr. Magufuli ktk mikutano yao leo hapo Jangwani ni kutowatendea haki hata kidogo, fine ni ukweli kuwa hawa watu wawili ni watu ambao wanakubalika sana, lakini sidhani kama ni sawa CCM kuamini itakuwa ni fimbo kwa upinzani. Wanawapa mzigo ambao kamwe hawastahili hata kidogo kuubeba.Huko mtaani wanasikikka wakitangaza kuwa "Dr. Mwakyembe na Dr. Magufuli" watahutubia leo, as if wao ni ukombozi kwao vile.
 
Chupi za wapinzani zimelowa kusikia sauti ya CCM, tuliwapa nafasi mkaitumia hakuna aliyelalamika leo ni zamu ya wana Darisalamu kuoneshwa uchafu wa CDM wenye chembe za ukabila,udini na matumizi mabaya ya fedha. Nape usisahau picha za jumba la hawala wa Slaa alilojengewa na CDM kama zawadi ya kumtoroka mumewe.
 
Wanabodi nipo mbagala maeneo ya kizuiani ile kampeni jaza uwanja imeanza gari lenye vipaaza sauti linasumbua wananchi Wana lalamika huu ni muda wa kazi wao hamasisha jangwani mbona mbona Hawawi watulivu Kama wenzao chadema watu Wana waonyesha vidole viwili . Wengine wanasema Chama tawala kinatakiwa kutekeleza ahadi zake wala sio kwenda kukusanya watu jangwani huu ni muda wa vitendo na wala siyo maneno
Kuna jamaa jangu mmoja dogo tu mjumbe wa nyumba kumi ccm yeye anasema anachufuata huko ni hela tu.. naskia kuna vibahasha.. hii sms alitumiwa jana inasomeka hivi "Kesho saa sita mchana unatakiwa ofisini TAWINI pamoja na wanachama wako kwa ajili ya kwenda jangwani kwenye mkutano ni muhimu njoo na watu wako, KATIBU MWENEZI" cha kushangaza anakwenda peke yake hakuna mwenye mpango nae.
 
Wanabodi nipo mbagala maeneo ya kizuiani ile kampeni jaza uwanja imeanza gari lenye vipaaza sauti linasumbua wananchi Wana lalamika huu ni muda wa kazi wao hamasisha jangwani mbona mbona Hawawi watulivu Kama wenzao chadema watu Wana waonyesha vidole viwili . Wengine wanasema Chama tawala kinatakiwa kutekeleza ahadi zake wala sio kwenda kukusanya watu jangwani huu ni muda wa vitendo na wala siyo maneno
Kwaiyo we unakaa mbagala maana Iyo saa 12 asubuhi si mchezo...na uache Uwongo matangazo alfajiri..msiweweseke magwanda si msubiri wezenu wafanye mkutano wao Ndio mje hapa namaneno..na ishu ya kubeba watu mbona huku kimara kulikodiwa daladala na wanachamba wa magwanda wakienda jangwani ..Kwaiyo mnataka wanachama wa CCM watembee kwa miguu wakienda jangwani?
 
Kwaiyo we unakaa mbagala maana Iyo saa 12 asubuhi si mchezo...na uache Uwongo matangazo alfajiri..msiweweseke magwanda si msubiri wezenu wafanye mkutano wao Ndio mje hapa namaneno..na ishu ya kubeba watu mbona huku kimara kulikodiwa daladala na wanachamba wa magwanda wakienda jangwani ..Kwaiyo mnataka wanachama wa CCM watembee kwa miguu wakienda jangwani?
Ni kweli Mkuu nakaa mbagala maeneo ya hapa kizuiani imekua kero kweli kweli Badala ya kutekeleza Ahadi tuone kwa vitendo wanatupigia mikelele asubuhi huu sio muda wa kampeni
 
1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa-Nzega, Tabora

  1. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda- Tanga mjini
  2. Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria-Igunga
  3. Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU)- Shinyanga
  4. Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini- Dodoma
  5. Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono-Dodoma mjini
  6. Kuwapatia trekta wakulima -Kata ya Mrijo, Dodoma
  7. Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi-Kagera
  8. Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi-Kagera
  9. Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba-Bukoba Mjini
  10. Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
  11. Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda- Kagera
  12. Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme- Kagera
  13. Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu-Kagera
  14. Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino- Mbeya
  15. Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba-Kagera
  16. Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
  17. Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika-Mwanza
  18. Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu-Mwanza
  19. Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani- Geita
  20. Kulinda muungano kwa nguvu zote-Pemba
  21. Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa-Morogoro
  22. Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa-Mbeya mjini
  23. Kujenga bandari Kasanga –Rukwa
  24. Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
  25. Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira -Mbeya
  26. Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama- Tanga
  27. Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini- Iringa
  28. Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani –Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi -Dar es salaam- Same mkoani Kilimanjaro
  29. Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same-Same Mjini
  30. Kuboresha barabara za Igunga -Tabora
  31. Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu- Kisesa Magu
  32. Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya- Mbeya Mjini
  33. Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN)-Hydom Manyara
  34. Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa- Musoma
  35. Kulinda haki za walemavu- Makete
  36. Kujenga baabara ya Njombe- Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109- Iringa mjini
  37. Kujenga barabara Musoma–Mto wa Mbu Arusha-Arusha
  38. Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
  39. Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma– Kaliua,Tabora
  40. Kukarabati barabara ya Arusha Moshi-Arusha Mjini
  41. Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa,mpaka Singida-Dodoma
  42. Kuwafidia wanakijiji ng’ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009- Longido 45.Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria-Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
  43. Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha –Arusha mjini
  44. Kukopesha wavuvi zana za kilimo-Busekera, Wilaya ya Musoma, .
  45. Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido- Longido
  46. Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
  47. Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri- Mbulu mkoani Manyara
  48. Kusambaza maji nchi nzima-Babati vijijini
  49. Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015-Babati vijijini Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha.-Iringa
  50. Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika- Iringa
  51. Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania-Iringa
  52. Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi-Ifunda
  53. kutokomeza malaria 2015-Bunda,mkoa wa Mara
  54. kuwapa wanawake nafasi zaidi-Kilolo ,Iringa
  55. ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii-Kibandamaiti Mjini Zanzibar
  56. Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa-Kabandamaiti mjini Zanzibar
  57. Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada-Kibandamaiti
  58. Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay-Ruvuma
  59. Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400-Mbambabay Ruvuma
  60. kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga(MBICU) –Ruvuma
  61. Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania –Ruvuma
  62. Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
  63. Mtwara kuwa mji wa Viwanda –Mtwara
  64. Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu-Kibaha
  65. Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa-Kibaha
  66. Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda -Kibaha

Bila shaka hapo utakuwa umeridhika na ahadi ya serikali ya ccm!

​kwa hisani ya mtu wa Tanganyika

www.umasikinitanzania.go.tz
 
Wanabodi nipo mbagala maeneo ya kizuiani ile kampeni jaza uwanja imeanza gari lenye vipaaza sauti linasumbua wananchi Wana lalamika huu ni muda wa kazi wao hamasisha jangwani mbona mbona Hawawi watulivu Kama wenzao chadema watu Wana waonyesha vidole viwili . Wengine wanasema Chama tawala kinatakiwa kutekeleza ahadi zake wala sio kwenda kukusanya watu jangwani huu ni muda wa vitendo na wala siyo maneno

Ina mana Mbagala ndio vilaza wa DSM walipo!!!.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom