Semenya
JF-Expert Member
- Sep 5, 2009
- 572
- 51
Mkuu what should we do? Vita? me sioni kama vita ni solution, wapi pametengemaa after vita? Iraq, Afkhanstan? utaniambia Rwanda, ila cunaona Kagame ni dikteta na panaweza pakatokea vitangine pale. So kwa hapo naonyesha jinsi gani vita ilivyokua mbaya na si solution kaka, hii JF utakua hauipati mkuu tukizipiga hapa.semenya, hizi ndoto za vyama vya upinzani kujipanga zimeanza leo? jamani, kuna nyakati tujikumbushe kuwa... unless the grain of wheat dies...