Shameful!

Hivi wakuu, wakati hawa wakipopoana huko Dodoma, vi wapi vyama vya upinzani, ilvi vitake advantage of this window of opportunity?

they are waiting for CCM to collapse!

Unajua hao walioko CCM hata wakitaka kuondoka, waende wapi? Kwenye chama kipi hasa kilicho makini kuleta mabadiliko?

true.. so far there is none!
Angalia, kwa mfano, wakati haya yanatokea, Maalim Seif alikuwa Ikulu Zanzibar 'wakinywa kahawa' na Raisi Karume...wanajadili umuhimu wa amani na maelewano!

nice observation.
Mkulu wetu Zitto, ambaye tunamwamini angeweza walau kupaza sauti mjengoni, ndo yupo kwenye sijui international parliamentary meeting sijui nini-alituambia mwenyewe hapa. Mtu unajiuliza, hivi hawa viongozi wa upinzani wanayaona haya kweli? wanajua ni wakati gani wa kutake action na kumobilise watu? Au ndo bado wana ile kasumba kusubiri wakati wa uchaguzi huku wakijua kua kwa mbinu hiyo hakuna kitakachobadilika?

Mi nshachoka sasa!

that makes two of us mate!
 
Unajua CCM itapeta milele kwa sababu vyama vya upinzani havifiki vijijini, kumbuka huko vijijini hakuna access ya magazeti hakuta Tv kwa sababu umeme haufiki huko redio ni moja tu tena inapatikana kwa mzee mmoja pale kijijini kwa sababu ni tajiri ana Ng'ombe. Nikamuuliza mzee mmoja nani ni waziri mkuu wa Tanzania akasema Mzee John Samwel Malecela kwa sababu alikwenda kwenye ufunguzi wa bomba la HESAWA wakati akiwa Waziri mkuu. CCM itapeta huko vijijini kwani vyama vya upinzani havijafika huko na hawajui ninini kinachoendelea huko Dodoma kwa sasa.
 
Unajua CCM itapeta milele kwa sababu vyama vya upinzani havifiki vijijini, kumbuka huko vijijini hakuna access ya magazeti hakuta Tv kwa sababu umeme haufiki huko redio ni moja tu tena inapatikana kwa mzee mmoja pale kijijini kwa sababu ni tajiri ana Ng'ombe. Nikamuuliza mzee mmoja nani ni waziri mkuu wa Tanzania akasema Mzee John Samwel Malecela kwa sababu alikwenda kwenye ufunguzi wa bomba la HESAWA wakati akiwa Waziri mkuu. CCM itapeta huko vijijini kwani vyama vya upinzani havijafika huko na hawajui ninini kinachoendelea huko Dodoma kwa sasa.

Mazee,
Unatania sio?
 
Unajua CCM itapeta milele kwa sababu vyama vya upinzani havifiki vijijini, kumbuka huko vijijini hakuna access ya magazeti hakuta Tv kwa sababu umeme haufiki huko redio ni moja tu tena inapatikana kwa mzee mmoja pale kijijini kwa sababu ni tajiri ana Ng'ombe. Nikamuuliza mzee mmoja nani ni waziri mkuu wa Tanzania akasema Mzee John Samwel Malecela kwa sababu alikwenda kwenye ufunguzi wa bomba la HESAWA wakati akiwa Waziri mkuu. CCM itapeta huko vijijini kwani vyama vya upinzani havijafika huko na hawajui ninini kinachoendelea huko Dodoma kwa sasa.

Ng'wanza... why the opposition is doing better in big cities like Dar, Arusha, Mwanza, etc where they have the luxury of having all the media, electricity, etc! but so far almost all the MPs from the opposition with the exception of Ndesamburo comes from Rural areas?
 
naogopa hata kuwaza lakini nahisi huko ndiko
tuelekeako yaani nchi yangu tanzania kuingia
kwenye orodha ya nchi zijulikanazo kama "failed states".
tofauti na nchi kama somalia ni kwamba tanzania tutafikishwa
huko bila vita bali na viongozi. masikini tanzania yangu
 
I think PASCO said the truth. Tanzanians feel that all those money being spent unnecessarily does not belong to them. Leaders also know about that, thats why they don't care when they are making statements. It is real shameful and lack of leadership direction no respect among Ministers, Mp's and It pains to see even the president although being accused to side with dishonest people he is not making any statement to clear the air. MAY BE IT IS A TIME TO RAISE THE LEVEL QUALIFICATION TO BE THE PRESIDENT at least KA-MASTERS.
 
INASIKITISHA KUONA PRESIDENT ANAONDOKA ANAACHA NCHI KWENYE HALI HII. No leadership ethics, no one knows who is the boss, real it is a shamble. I think those who are campaining for real good governance have to leave this party, don't joing CHADEMA instead form CCM ASILI. If they are real genuine they have to think about it.
 
Probably, we put our hopes so high on these guys, I mean we are simply expecting too much of them, which is why we keep on being disappointed every day. Isn't time that we stopped putting our hopes on them? Hasn't time come to start seriously thinking of an alternative?

To me I would rather say shame on us for continuing to bank on people who are not bankable. I am increasingly convinced that the problem 'eating' our country is not a hopelessl eadership, but rather, a hopeless citizenry!

Wananchi wategemee Hope kutoka wapi?

Watu gani bankable?...
 
Mimi nakubaliana sana na wale wanao propose solution kwa nchi yetu. mnaojidai sijui na demokrasia, kwa nchi hii hakuna kitu kama hicho bana. kufikiri sisiem inakwenda kujifia natural death, ni kujidanganya. kufikiri upinzani uliopo, au utakaokuja, kwa mazingira haya utaleta mabadiliko tuyatakayo ni ndoto za alnacha. heri baadhi yetu, wachache though tunaofikiri kuingia msituni kutatatua tatizo la nchi yetu. mtasema ni mawazo ya mtu aliechanganyikiwa, but a day wil come when we wil prove you wrong!
 
Mimi nakubaliana sana na wale wanao propose solution kwa nchi yetu. mnaojidai sijui na demokrasia, kwa nchi hii hakuna kitu kama hicho bana. kufikiri sisiem inakwenda kujifia natural death, ni kujidanganya. kufikiri upinzani uliopo, au utakaokuja, kwa mazingira haya utaleta mabadiliko tuyatakayo ni ndoto za alnacha. heri baadhi yetu, wachache though tunaofikiri kuingia msituni kutatatua tatizo la nchi yetu. mtasema ni mawazo ya mtu aliechanganyikiwa, but a day wil come when we wil prove you wrong!


Msitu gani mtakaoingia Tanzania kabla hamjaliwa na simba?
 
mkjj, hata kama ni msitu wa pande, potelea mbali. uanamapinduzi ni pamoja na kujitoa. lengo ni kufika kaanani, ukifanikiwa kufika salama ni heri. ukidondoka njiani pia poa tu, kifo chako kitatumika kama mbolea katika safari. its all about believing in your cause brother!
 
mkjj, hata kama ni msitu wa pande, potelea mbali. uanamapinduzi ni pamoja na kujitoa. lengo ni kufika kaanani, ukifanikiwa kufika salama ni heri. ukidondoka njiani pia poa tu, kifo chako kitatumika kama mbolea katika safari. its all about believing in your cause brother!

siasa za mapigano zimepitwa na wakati na gharama yake ni kubwa kweli. Kama tumeshindwa kutumia siasa za ushawishi na msukumo hatuwezi kwenda msituni believe me. Kama kina Zitto, Slaa, Lipumba na Seif na wenzao wameshindwa kuandamana hapo Ikulu ya Dar wakasalimika ndio watu waende msituni? nani aende Mbowe?
 
Kitila n Mwanakiji,

It is true that this is disappointing deeply, but understand that CCM only depends on the mind blinded voters who r in d villages n they do a lot of fouls in elections. This we know it's true. But big problem is the look of our opposition leaders who always run and re-run for presidential elections. they don look stronger to make us get convinced of putting them in power.

Really, there is no where to run in this near future. CHadema is good but i don trust in Mbowe, Look, huge percent of these pple from Arusha n Kilimanjaro run for presidency n they look so selfish just they want power to fulfill their needs. There is Mrema, so week, Mbowe, d same, Dr. Mvungi, d same, prof. shayo, d same, all these pple from Arusha n kmanjaro areas. I don c their potential at all. Those r wachaga n wapare, n they r d ones who are leading in big scandals while they were in power example, Mramba n lowasa.

God bring us new presidential candidates from other areas of the country.
 
siasa za mapigano zimepitwa na wakati na gharama yake ni kubwa kweli. Kama tumeshindwa kutumia siasa za ushawishi na msukumo hatuwezi kwenda msituni believe me. Kama kina Zitto, Slaa, Lipumba na Seif na wenzao wameshindwa kuandamana hapo Ikulu ya Dar wakasalimika ndio watu waende msituni? nani aende Mbowe?

hufikiri kuwa uozo mkubwa kama huu husafishwa kwa gharama kubwa? je zaidi ya hao uliowataja hapo juu, hakuna wanamapinduzi wengine wanaolinea uchungu taifa hili? mbona hivi karibuni tumeona wanafunzi, tena wa primary na sekondari, tena o level wakitumia mbinu though primitive kulazimisha dola itende. je wakipata itikad nzuri, hawawezi hawa?
 
Inabidi tuache kusubiri kupewa haki kama fadhila. Haki ni haki ya kila mtu. Mtu akikalia haki yako kwa nguvu unatikiwa uichukue tu kwa nguvu, Ni nguvu kiasi gani na ya namna gani, hapo inategemea utashi na rasilimali mlizonazo na mazingira ya wakati huo. Inaweza kuanzia crude way kama kuingia msituni mpaka sofisticated way za kijasusi kama kuhujumu mifumo ya wabaya wenu ikiwemo kuwapotezea wale ambao manaona wanakuwa kikwazo kikubwa.
 
Vita siyo solution, tutarudi nyuma mara 100. Njia nzuri ni kuwaaambia upinzani wa zingatie sana kwenye Ubunge na waache urais. Then tukipitia hapo kwenye ubunge ni rahisi kwa baadae kupata urais. Ni tahisi sana kwa baadae kubadili katiba na kutengeneza sheria endelev.

Pia vyama vyetu vya upinzani vijiweke kwenye taswira ya kitaifa kuliko kujiweka kimkoa au kidini, itasaidia sana kuwateka watanzania wengi.
 
semenya, hizi ndoto za vyama vya upinzani kujipanga zimeanza leo? jamani, kuna nyakati tujikumbushe kuwa... unless the grain of wheat dies...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom