Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Ndio tunakwambia porojo za zamani Zitto kisha waacha solemba ebu tueleze umemuuliza mzee wa makafara kwanini NBC sasa hivi inaungua,Mzee wa MAJINI KIKWETE ha ha ha mwaka Huu sijui atajificha wapi balaa juu ya balaa uporaji wa haki za wananchi mmh
Hata ziungue zote rostam yupo so atatimiza tu ahadi zake,tena kama umesahau ndo mpango wa ccm huo,iba hela then choma moto benki ionekane ni ajali hahahahahaha,full kutimiza ahadi