Kinachoendelea Loliondo: Shame on them! - Mwinyi, Mkapa, and Kikwete!

Sound good mwaka huu lazima watambue kuwa kuna watu wameshachona na upuuzi wanaoufanya.
 
labda kosa kubwa la Nyerere ni kumpinga Mrema kuwa raisi wakati ule (1995), ile nguvu aliyokuwa nayo Mrema wakati ule angeingia nayo madarakani nadhani adabu ingekuwepo katika hii nchi

Mrema yupi? Augustine? you are joking myfriend
 
Mrema yupi? Augustine? you are joking myfriend
Namanisha Augustin Lyatonga Mrema, mpaka sasa ndio mpiganaji wa kweli kwenye upinzani, sijuhi unamkataa kwa lipi, lakini ukweli usio pinginga alikuwa ni bora kuliko Mkapa, JK, Huwezi kutupa CV ya Mkapa ama JK ya utendaji wa kazi na misimamo ya ukweli kabla ya kuwa kwenye hivyo viti, sio Siri angeechemsha baadhi ya mambo kama binadamu wengine wanavyochemsha lakini by that time he was the best
 
Wakati serikali nyingine duniani zina hakikisha ukweli unatawala, Tanzania ukisema ukweli wewe ni adui wa serikali, ajabu. Upuuzi wa loliondo hakuna asiye jua lakini unashangaa kikwete anakaa kimya kama vile hakuna kinachotokea, sasa leo walioandamana wanaitwa siyo raia, kuwa ni watu kutoka kenya.

Nakumbuka Jenerali Ulimwengu alimpo mkosoa mkapa na serikali yake aliambiwa siyo raia na akatishiwa kufukuzwa nchini. Ninacho jiuliza mimi ni je, CCM na serikali yenu mtajificha wapi siku chama chenu kikishindwa?? Kweli mtatoka jela??
 
Wakati serikali nyingine duniani zina hakikisha ukweli unatawala, Tanzania ukisema ukweli wewe ni adui wa serikali, ajabu. Upuuzi wa loliondo hakuna asiye jua lakini unashangaa kikwete anakaa kimya kama vile hakuna kinachotokea, sasa leo walioandamana wanaitwa siyo raia, kuwa ni watu kutoka kenya.

Nakumbuka Jenerali Ulimwengu alimpo mkosoa mkapa na serikali yake aliambiwa siyo raia na akatishiwa kufukuzwa nchini. Ninacho jiuliza mimi ni je, CCM na serikali yenu mtajificha wapi siku chama chenu kikishindwa?? Kweli mtatoka jela??
Na hii mbinu ya kuita raia sio raia wakati wanadai haki sijui mgunduzi wake ni nani. Haitafua dafu mbele ya safari kama watu wataendelea kuona ipo haja ya namna nchi inavyoongozwa ibadilishwe. Dawa ni kusoma alama za nyakati na kubadilika. Tusije kutajikuta haya mambo yanatuadhibu bila huruma mbele ya safari.
 
Siku CCM ikianguka tu ikashindwa kwenye uchaguzi kikwete, mkapa, mwinyi, na wengine mjue jela iko nanyi.
 
Wakati serikali nyingine duniani zina hakikisha ukweli unatawala, Tanzania ukisema ukweli wewe ni adui wa serikali, ajabu. Upuuzi wa loliondo hakuna asiye jua lakini unashangaa kikwete anakaa kimya kama vile hakuna kinachotokea, sasa leo walioandamana wanaitwa siyo raia, kuwa ni watu kutoka kenya.

Nakumbuka Jenerali Ulimwengu alimpo mkosoa mkapa na serikali yake aliambiwa siyo raia na akatishiwa kufukuzwa nchini. Ninacho jiuliza mimi ni je, CCM na serikali yenu mtajificha wapi siku chama chenu kikishindwa?? Kweli mtatoka jela??

Mkuu Magezi,

CCM haitegemei kushindwa wala haitashindwa hata siku moja kama tukiendelea kuacha tume ya uchanguzi kujaa makada wa CCM na hao ndio wanaamua kutangaza nani kashinda. Kumbuka ya Busanda na Biharamulo hivi karibuni. Kwani CCM walishinda? Walitangazwa washindi tu!!! na ndivyo itakavoendelea kuwa hivyo na chaguzi nyingine zijazo. Hii inahitaji topic tofauti lakini kikwazo kikubwa cha demokrasia nchini mwetu ni tume ya uchaguzi. Kwisha!!!!

Tiba
 
Namanisha Augustin Lyatonga Mrema, mpaka sasa ndio mpiganaji wa kweli kwenye upinzani, sijuhi unamkataa kwa lipi, lakini ukweli usio pinginga alikuwa ni bora kuliko Mkapa, JK, Huwezi kutupa CV ya Mkapa ama JK ya utendaji wa kazi na misimamo ya ukweli kabla ya kuwa kwenye hivyo viti, sio Siri angeechemsha baadhi ya mambo kama binadamu wengine wanavyochemsha lakini by that time he was the best

Mkuu hapa sijui unatumia vigezo vipi hasa. Sidhani kama Mrema angekuwa rais angetofautiana sana na wengine wowote ambao wangekuwa marais. Na sina uhakika sana unaposema "mpiganaji" unamaanisha nini. Kwa tabia yake aliyokuwa nayo ya kutoa 'siku saba' kwa kila kosa kutolewa maelezo au kutatua matatizo ya wanawake ambao wananyanyaswa na bwana zao?
Kweli kuna mazuri aliyoyafanya alipokuwa waziri, ila ungeniambia kuwa angekuwa na mchango mzuri kwa taifa na watanzania kama angekuwa mbunge wa kawaida ningekubaliana nawe.
 
Mkuu hapa sijui unatumia vigezo vipi hasa. Sidhani kama Mrema angekuwa rais angetofautiana sana na wengine wowote ambao wangekuwa marais. Na sina uhakika sana unaposema "mpiganaji" unamaanisha nini. Kwa tabia yake aliyokuwa nayo ya kutoa 'siku saba' kwa kila kosa kutolewa maelezo au kutatua matatizo ya wanawake ambao wananyanyaswa na bwana zao?
Kweli kuna mazuri aliyoyafanya alipokuwa waziri, ila ungeniambia kuwa angekuwa na mchango mzuri kwa taifa na watanzania kama angekuwa mbunge wa kawaida ningekubaliana nawe.

- Strong points, saafi sana na keep it up!

Respect.

FMEs!
 
Namanisha Augustin Lyatonga Mrema, mpaka sasa ndio mpiganaji wa kweli kwenye upinzani, sijuhi unamkataa kwa lipi, lakini ukweli usio pinginga alikuwa ni bora kuliko Mkapa, JK, Huwezi kutupa CV ya Mkapa ama JK ya utendaji wa kazi na misimamo ya ukweli kabla ya kuwa kwenye hivyo viti, sio Siri angeechemsha baadhi ya mambo kama binadamu wengine wanavyochemsha lakini by that time he was the best

You know there are leaders and there are followers. Kuna watu they work very efficient under a person and by taking commands but when it comes to leading themselves it's very hard. That's why unakuta mtu alikuwa mchapakazi na mtendaji mzuri lakini anapo pewa kuongoza yeye inamuwia ngumu. Not to belittle anyway but kila mtu na kipaji chake. I think Mrema is efficient under a person but not as the top leader himself. Mfano ni alipo jiunga upinzani na yeye kuwa kiongozi mkuu wa chama. Tuangalie utendaji wake hapo na tutajua what kind of president he might have made. I stand to be corrected.
 
- Ukiona kiongozi anaondoka kwenye power halafu system ya utawala aliyoijenga inaporomoka, basi ujue hafai ni mbinafsi tizama system za utawala zilizojengwa na kina George Washington, Church-Hill, na Mao-Tse Tung, tena hazina mikwaruzo baada hata ya kufa kwao miaka mingi sana iliyopita na ni imara than ever!

- Hawa kina Mrema, hawajafa lakini hakuna cha kuonyesha ndio maana tunataka hata kutoana ngeu humu, on what walichoacha walipotoka kwenye utawala!, inasikitisha sana! no wonder hili taifa tupo tulipo sasa!

Respect.

FMEs!
 
Mwanakijiji political analysis zimeshindwa kuelezea tatizo letu. Hata sociological analysis zimegonga mwamba. Kilichobaki ni psychoanalysis/psychological analysis - we must be very very sick upstairs! Kumbuka adui wakuu 2 kati ya wale 3 ni Maradhi na Ujinga!

Jibu lako lipo one step away. Msikilize bwana umeme, Nyani Ngabu.
 
Yupo kwenye denial huyo....

Shame on them the leaders derided above! Shame on you too! Shame on all those who deny the historical role of the great leaders honored below!

P A N - A F R I C A N I S T I N S T I T U T E - F A L L 2009

250px-Flag_of_the_UNIAsvg.jpg
aaprpbutton.gif
250px-Flag_of_the_UNIAsvg.jpg


[FONT=garamond,serif]
ALL-AFRICAN PEOPLE’S REVOLUTIONARY PARTY

Working To Build Mass Political Organization In The Interests Of The African Masses
Warmest greetings Sisters & Brothers.
The Fall 2009 Pan-Africanist Institute has arrived!
Our focus this year is revolutionary transformation.
We seek to transform our People’s:
*Political Ignorance into Revolutionary Political Consciousness
*Political Apathy into Revolutionary Political Action / Love
*Spontaneous Mobilization into Permanent, Disciplined Organization
To this end, this year’s Pan-Africanist Institute will center on the following theme:
[/FONT]


RESTORING THE AFRICAN PERSONALITY: INTERNALIZING IDEOLOGY, ORGANIZATION, AND VALUES FROM AFRICAN CULTURE!


TitinaSila.jpg
PDVD_128.jpg
fannie_lou_hamer.jpg



W H A T'S I N V O L V E D?

A 10-session program of critical study, analysis, and collective discussion of carefully chosen, politically relevant readings which address fundamental crises impacting African People worldwide.
Dynamic readings from powerful figures such as Malcolm X, Fannie Lou Hamer, Seku Ture, Amy Jacques Garvey, Amilcar Cabral, and Kwame Nkrumah have been creatively compiled to produce a Pan-Africanist-rich, politically potent syllabus designed to raise our People’s political consciousness, leading to solution-oriented action – particularly joining and building political organizations!

Sobukwe.jpg
298109655_ec0c865a8a.jpg




session 2 is thursday, september 24.


the theme for this session is:


Ideology is the Fighter's
First Weapon:
Building African People's Revolutionary Political Consciousness!

&

A video of Kwame Ture
on the "Role of Ideology
In The African Revolution"

---------------------------------
Requirements of Participation:
*Download weekly readings and discussion questions
*Complete the reading in advance
*Provide written responses to questions; cite text /page reference to support your position
*Jot down in writing any concerns or issues
you may have with the reading
--------
**This Institute seeks to strengthen our People in one of our
greatest areas of weakness – disciplined, collective political study.
We therefore will replace the elite, bourgeois model of
teacher-student, lecture-oriented education, with a mass,
collective model of revolutionary education.
The success of such a process relies on all participants
shouldering their responsibilities to come prepared with the
reading done and ready to struggle! Forward To Victory!
---------------------------------


AhmedSekouToure.jpg
nkrumah.jpg


all 10 sessions will be held at medgar evers college
in the "s" bldg. @ 1637 bedford ave. between crown and
carroll streets. [#2 TRAIN TO pRESIDENT STREET]
programs will be held in the 3rd floor
conference Room [Rm #307].
Requested arrival time is 5:45pm
all programs run from 6pm – 8pm.
**please bring proper i.d. for bldg. entry**
*Sponsored by the MEC School of Professional
and Community Development*
------------------------------------------------------------------------------


For more info call 347-678-2951 or email aaprp.nypa@gmail.com


Forward To Pan-Africanism!
 
Probably his mistake was not to have multifaced succession plan. Aliwaachia nchi watu waliokuwa walafi kuliko maelezo. Wanalindana kwa nguvu zote ili wanayoyafanya yasijulikane na wasiwajibishwe. Ila hii sauti inayolia..inaita kulipa kisasi. Ipo siku mtakuja ona kisasi chake kitakavyokuwa. Naomba Mungu iwe during my life time. Wanatengeneza time bomu, wanalifukia chini ya nyumba halafu wao wanaendelea kuishi ndani. Lazima huo ni ujuha sio akili timamu

I want to hire a SNIPER where will I get one?
 
Very dissappointing!! Yaani hata sijui tuwafanyaje hawa watu, Mbona wanatuchezea kama watoto wadogo? Watanzania tumekaa tunaangalia tu hawa watu wasiokuwa na aibu wanaifanya hii nchi kama yao. Wanaiba rasilimali zetu wanavyotaka, we need to take action Tanzanians, tuache ubinafsi wa kujiangalia kila mtu na familia yake, eti ilimradi watoto wako wanasoma na kupata mahitaji yote muhimu kwa binadamu, tuwatazame hata wale ambao maisha yao ni ya taabu hawana hata uwezo wa kupata milo 3 kwa siku, hawana uwezo wa kujitibia. Wote hao ni binadamu kama sisi, Lets stand up together watanzania kulinda rasilimali za nchi yetu.
 
Siku CCM ikianguka tu ikashindwa kwenye uchaguzi kikwete, mkapa, mwinyi, na wengine mjue jela iko nanyi.

Sawa mkuu, ila jaribu kuchambua hao wa upinzani kwanza. Je nani anaweza ongoza taifa? Wengi wao ni vilaza zaidi, na pili karibia wote ni CCM! na hufuata (au hukimbilia) harufu ya Shilingi!

Ukitafakari kwa makini unagundua kuwa tatizo tulilonalo ni kubwa zaidi kuliko tunavyofikiria.
 
Hayo ni mawazo yako binafsi na uzushi na kuwa mbabaishaji wa maneno wa hali ya juu. Mbona kuna mbuga nyingi sana zimechukuliwa na watu aina mbali mbali hususan wazungu, tena zina ukubwa maradufu zaidi ya hizo za Loliondo lakini huzisemi? Kwa nini ukweli unaoutaka kuulazimisha uwe wa upande mmoja tu? hizi ndio ''agenda za siri'' tunazozisema kila siku.

Hilo la Dowans linahusu nini? au Dowans wamefanya kosa lipi? ngoja usikie mifedha watakayolipwa ndio mtajuwa kuwa fitina za kijinga siku zote hazisaidii bali zina hasara kubwa kama yale ya wale wa Malaysia, nna uhakika unawajuwa na mpaka leo tunawalipa kutokea puwani. Kwa hayo hayo mafitina ya mijitu kama wewe, mkenda kututia hasara Taifa zima.

Loliondo, nini hasa walichokiiba? nini hasa walichochukuwa nje ya Sheria? nini hasa walichochukuwa wakapeleka nje ya Tanzania? zaidi ya wawekezaji wengine wa kwenye mbuga zingine? Tena ukitazama kwa makini hawa wa Loliondo wamesaidia na kutowa misaada kuliko mwekezaji mwengine yeyote aliewekeza kwenye Mbuga za wanyama.

Wacha hizo za kuleta, kwa sababu tu wawekezaji wa Loliondo ni... na Dowans ni... Utajaza mwenyewe!
 
Hayo ni mawazo yako binafsi na uzushi na kuwa mbabaishaji wa maneno wa hali ya juu. Mbona kuna mbuga nyingi sana zimechukuliwa na watu aina mbali mbali hususan wazungu, tena zina ukubwa maradufu zaidi ya hizo za Loliondo lakini huzisemi? Kwa nini ukweli unaoutaka kuulazimisha uwe wa upande mmoja tu? hizi ndio ''agenda za siri'' tunazozisema kila siku.

Hilo la Dowans linahusu nini? au Dowans wamefanya kosa lipi? ngoja usikie mifedha watakayolipwa ndio mtajuwa kuwa fitina za kijinga siku zote hazisaidii bali zina hasara kubwa kama yale ya wale wa Malaysia, nna uhakika unawajuwa na mpaka leo tunawalipa kutokea puwani. Kwa hayo hayo mafitina ya mijitu kama wewe, mkenda kututia hasara Taifa zima.

Loliondo, nini hasa walichokiiba? nini hasa walichochukuwa nje ya Sheria? nini hasa walichochukuwa wakapeleka nje ya Tanzania? zaidi ya wawekezaji wengine wa kwenye mbuga zingine? Tena ukitazama kwa makini hawa wa Loliondo wamesaidia na kutowa misaada kuliko mwekezaji mwengine yeyote aliewekeza kwenye Mbuga za wanyama.

Wacha hizo za kuleta, kwa sababu tu wawekezaji wa Loliondo ni... na Dowans ni... Utajaza mwenyewe!

Wazungu hawawindi kwa machine-gun. Wazungu hao hatujasikia wakisafirisha wanyama kwao ( ukiondoa vyura wa Mtera). Siku moja moja fungua pazia la udini utaona mengi.

Amandla.....
 
Back
Top Bottom