Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
MASHAMBULIZI YA MAREKANI SOMALIA TUMEJIFUNZA NINI
Ndugu
Tumeona siku za karibuni Jeshi la marekani kwa kutumia ndege zake zilifanikiwa kumuuwa gaidi mmoja raia wa Kenya waliyekuwa wanamtafuta sana toka balozi zao zilipolipuliwa jijini dar es salaam na nairobi .
Nimeshangaa kwanini serikali ya Kenya haikuingia yenyewe ndani ya Somalia kwenda kumtafuta gaidi huyo kama walikuwa wanajua alipo na taarifa za uwepo wake katika eneo hilo , badala yake wameruhusu jeshi la marekani kushambulia eneo hilo na kufanikiwa kumuuwa gaidi huyo
Nachouliza nchi yetu ya tanzania tumejiandaa vipi na vitendo hivi vya jeshi la marekani kuingilia mipaka ya nchi zingine kwa matakwa yao wenyewe , serikali ya Kenya haijatoa tamko lolote la maana kwa nchi ya marekani wala umoja wan chi za afrika nao umekaa kimya tu kuhusu shambulio hilo pamoja na kwamba wamezoea kufanya mashambulizi siku za nyuma .
Binafsi sipendi harakati za kigaidi mahala popote lakini pia sipendi kuona nchi zinavyovamia nchi zingine kwenye kuuwa watuhumiwa haswa kwa njia hizo zilizotumika kesho kutwa tunaweza kusikia wameenda kupiga mwanza kutafuta magaidi
Na ndio kwanza wanatafuta nafasi ya kuanzisha kituo chao cha kijeshi kwa nchi za afrika , naamini huko mbeleni kutakuwa na matishio makubwa zaidi ya hili kwa nchi hiyo kuamua kuvamia nchi zingine
Ndugu
Tumeona siku za karibuni Jeshi la marekani kwa kutumia ndege zake zilifanikiwa kumuuwa gaidi mmoja raia wa Kenya waliyekuwa wanamtafuta sana toka balozi zao zilipolipuliwa jijini dar es salaam na nairobi .
Nimeshangaa kwanini serikali ya Kenya haikuingia yenyewe ndani ya Somalia kwenda kumtafuta gaidi huyo kama walikuwa wanajua alipo na taarifa za uwepo wake katika eneo hilo , badala yake wameruhusu jeshi la marekani kushambulia eneo hilo na kufanikiwa kumuuwa gaidi huyo
Nachouliza nchi yetu ya tanzania tumejiandaa vipi na vitendo hivi vya jeshi la marekani kuingilia mipaka ya nchi zingine kwa matakwa yao wenyewe , serikali ya Kenya haijatoa tamko lolote la maana kwa nchi ya marekani wala umoja wan chi za afrika nao umekaa kimya tu kuhusu shambulio hilo pamoja na kwamba wamezoea kufanya mashambulizi siku za nyuma .
Binafsi sipendi harakati za kigaidi mahala popote lakini pia sipendi kuona nchi zinavyovamia nchi zingine kwenye kuuwa watuhumiwa haswa kwa njia hizo zilizotumika kesho kutwa tunaweza kusikia wameenda kupiga mwanza kutafuta magaidi
Na ndio kwanza wanatafuta nafasi ya kuanzisha kituo chao cha kijeshi kwa nchi za afrika , naamini huko mbeleni kutakuwa na matishio makubwa zaidi ya hili kwa nchi hiyo kuamua kuvamia nchi zingine