Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,061
- 281
Lipo Chanika Sungusia. Lina ukubwa wa heka mbili.Lina miti ya mimea mbali mbali ya matunda kama maembe, machungwa, minazi n.k pia lina aina nyingine za mimea ya mboga mboga. Lipo karibu na shule na hospitali. Lina nyumba ya kutosha kujihifadhi wewe na famila yako ndogo. linauzwa shilingi 12milioni. Unakaribishwa kulikagua maongezi yapo. Unaweza kulipa kwa awamu mbili lakini awamu ya kwanza ispungue 10milioni. karibu tena. kwa mawisiano piga simu 0171114409 au 0784225000.