Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Duuu mkuu mzee MAXMELO yeye anataka kwa eka 20 milion 20 sasa wewe eka 3 kasoro milioni 200 sasa wapi na waspi??Na umefanya hivyo kwa ajili ya umbali au inakuwaje hapo?
Nafikiri hapo wanaangalia na mambo ya location ambayo pia hudetermine market price....ukienda kariakoo kieneo cha chini ya robo eka unaweza uziwa kwa zaidi ya 500m!